Neste Talks About Dressing Meena Ally At BSS 2023
We are nestefied! Tulimuona media host kwenye fainali za BSS 2023 kapendeza sana hivyo Afro tuliweza fanya mahojiano na the man behind Meens’s wow looks AFS: Tumeona previous collaborations toka kwako na Meen Ally and this is among the best. Waweza tuelezea the inspiration behind…
Jojo Gray On Being A Mom & Keeping It Stylish
Tunamjua kama Jojo Gray lakini jina lake kamili ni Joan D Gray, mwanadada aliyejipatia umaarufu kutoka na style zake za mavazi (fashionista) tumepata nafasi ya kufanya nae interview na kutueleze mambo mbalimbali kuhusu mitindo na urembo Afs: Tuanze Na Historia Yako Kwa Ufupi. Jojo: my…
Elisha Red Label Tells The Story Behind Nandy’s Reception Dress
Tunaweza sema Nandy being a fashionista aliweza kutukosha moyo na her reception dress japo baadhi walikuwa na maoni kinzani juu ya kuonyesha her precious baby bump AFS: Tuanze the dress ambapo the baby bump iliweza onyeshwa, the idea ilitoka wapi, kwako, Nandy ama pamoja? Elisha:…
Bijoux Trendy On Working With Ali Kiba
Bijoux ni moja ya wabunifu tulio nao Nchini ambao wapo tofauti kabisa, ikiwa wengi wame base kwenye mavazi ya sherehe na wengine wakiwa kwenye material za kizungu yeye anafanya batiki na mavazi ya ni ya day wear, hivi karibuni tumemuona mwanamziki Ali Kiba akiwa amevalia…
Martin Kadinda On Harmonize & Kajala’s Engagement Day Looks
AFS: So the one and only MK umeweza simamia the #Harmojala late lunch turned into engagement party kuanzia mavazi hadi decor. Kwanza hongera sana na je the whole event coming to life, ilikuwa ni a planning na execution ya muda gani in both decor and outfits? Martin:…
Mahaumes Aongelea Kuhusu Kufanya Kazi Na Jokate Mwegelo
AFS: Tunaomba Tukujue Kwa Ufupi Mahaumes: Jina langu ni Mahaumes Patron born and raised in Dar. Started designing in 2017 AFS: Je Inspiration Behind Ile Gauni Ni Nini? Mahaumes: Inspiration yetu ilikua ni to present a woman in different ways like she can be working…
Fashion, Surgery & Body Shaming With Sishkiki Sikamatiki
AFS: Tungependa Tukujue Kidogo Jina Lako Halisi, Masomo Etc Sishkikii: Nafahamika kwa Sishkiki sikamatiki. As first & lastname. Lol. A graduate at UDSM that majored in social science. AFS: Kwanini Sishkiki Sikamatiki? Sishkiki: kwasababu sishkiki. 😄Nilitaka jina linitambulishe kabla mtu hajanifahamu vizuri. AFS: Tumeona Unafanya…
Elisha Red Label Talk’s About Nandy’s Traditional Wedding Dress
Hongera kwa mwanamuziki Nandy na mpenziwe Billnas ambao hivi karibuni wamevishana pete na kufanya Traditional Wedding, katika Traditional Wedding Nandy alivalishwa na mbunifu Elisha Red Label ambae tumepata nafasi ya kuongea nae kuhusu vazi alilomvalisha mwanamuziki huyo, AFS: Tunaomba Tukujue Kwa Ufupi Elisha: I am…
Kyamirwa Talks About His Original Design Dress
AFS: Tunaomba Tukujue Kwa UfupiKyamirwa: In a nutshell, a born and raised Tanzanian Fashion Designer. Craft experience in sewing over 10 years. Owner and Creative Director of a fashion company, Kyamirwa, mainly focused on exquisite and detail-attentive bridal and evening dresses AFS: Hii Ni Original…
Escapade Collection By Martin Kadinda
Mbunifu Martin Kadinda ameachia collection yake iitwayo Escapade huko Mawemawe Manyara, tumepata muda wa kuongea na kufahamu machache kuhusu collection hii, AFS: The escapade collection-unaweza tuelezea inspiration behind it? Martin: Mostly my collection are inspired by the work of art, from fabric prints, nature and…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…