SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Mitindo

JINSI YA KUVAA BWANGA JEUPE 

Unaweza ukawa nalo tu kwenye kabati ukiwa hujui ulivalie na nini au ulivae vipi, bwanga linaweza kuvaliwa kwa namna mbali mbali na sasa hizi ndio zinaanza kurudi kwenye trend, Valentine ina karibia kama hutaki kuvaa ki valentine valentine basi vaa bwanga lako jeupe ki namna…

Dondoo

ONDOA TUMBO KWA KUNYWA MAJI HAYA 

Chukua jagi kubwa na weka vifuatavyo: 1. Maji na slice za: 2. Matango yaliyokatwakatwa 3. Malimao au Ndimu 4. Mdalasini 5. Tangawizi au Manjano ukiweza kupata 6. Majani ya mint (ukipata) Weka mchanganyiko kwenye friji na tumia kama maji ya kawaida. Ukipenda maji yakiisha weka…

Mitindo

#WCW TUNAJIFUNZA NINI KUTOKA KWAO. 

Ikiwa leo ni jumatano nyingine ambayo kama utapitia mitandaoni utakuta zime postiwa picha nyingi za wana wake na chini zime andikwa #WCW, WCW maana yake ni Woman Crush Wednesday ambapo wengi huwaweka wale wanawake wawapendao eidha ni familia, rafiki, au watu maarufu wanawake lakini je…

Mitindo

VAZI LA OMOTOLA KATIKA BIRTHDAY YAKE 

Omotola ni mwanamama kutoka Nigeria ambae wengi wanamjua kwa kazi yake ya uigizaji lakini kabla ya kujikita katika Tasnia hio Omotola aliwahi kuwa model (mwanamitindo). Juzi tarehe 7 mwanamama Omotola alifikisha miaka 38 na hili ndilo lilikua vazi lake, gauni ya kiheshima simple ila amependeza…

Fashion Cop

ZILIZO TUVUTIA WEEKEND HII 

Hizi ndizo zilizo tuvutia kutoka kwa watu maarufu mbalimbali kutoka nchi waliopo nchini au nje ya nchi. Barnaba Elizabeth Michael Faiza Ally Feza Kessy & Chegge Linah Sanga Rio Shilole Tammy The Baddest Vanessa Mdee Macrida Joseph Hapiness Magesse

Fashion Cop

SITTI MTEMVU VS ELIZABETH MICHAEL 

Sitti Mtemvu aliyekuwa miss Tanzania 2014 kwa muda mfupi kisha akajivua taji na Elizabeth Michael muigizaji anae jua jinsi ya kujipangilia katika mavazi, wameonekana kupenda gauni moja la usiku. Sitti amelivaa gauni hili na viatu rangi ya almasi wakati Eliza amevaa na viatu rangi ya…

Mitindo

SINGLE LADIES (TAMTHILIA) 

Single Ladies ni tamthilia iliyo anzishwa 30/5/ 2011, inahusu vichekesho (comedy), maisha, mapenzi pia mitindo katika hii tamthilia wahusia wakuu ni wadada watatu ambao n Raquel, Keisha na April hawa ni wadada wana jituma hasa katika kazi zao lakini maisha yao kimapenzi hayako vizuri mara…

Mitindo

MAPINDUZI YA MITINDO NA LINAH SINGA #TBT 

Linah Sanga mwanamuziki kutoka Tanzania, katika wasanii ambao wame toka mbali na mitindo  basi hatuwezi kumsahau Linah na vivazi vyake lakini kwa sasa huto acha kumtaja Linah kama mwanamuziki ambae ana jitahidi sana katika mitindo na mavazi, basi tuone kule alipo toka mpaka sasa alipo….