Namna 5 Za Kuvaa Jeans Skirt
Kila mwanamke anatamani kuwa na jeans skirt katika closets yake ila ni vile anashindwa tu kujua anawezaje kustylish jeans skirt yake. Leo tunakuletea njia tano ambazo zitakuwa ni easy sana kustylish outfits yako ambayo inabebwa na jeans skirt. Kuna aina nyingi sana ya jeans skirt…
Reviewing Zuchu’s Looks On Wasafi Festival
Zuchu ni mwanadada pekee anaye perfom kwenye wasafi festival, na kwa kupewa nafasi hii ya kipekee tulitegemea looks za maana you know mwanamke peke yako you got to show off, lakini tofauti na mategemeo yetu Zuchu amekuwa akitu-serve looks za kawaida mno, well tumefanya review…
How Mihlali Slaying The Streets In Zanzibar
Kuna fashion girl hamjui Mihlali ndamase? if yes then you’re missing alot, Mihlali ni youtuber, makeup artist & social media personality kutoka South Africa. Ukiachana kuwa vyote hivyo pia ni slayer mzuri tu linapokuja swala la fashion. Kwasasa yupo visiwani Zanzibar na amekuwa akitu-update looks…
Diamond Platnumz, Kusah & Rayvanny Wears Matching Outfit’s With Their Son’s
Mara nyingi huwa tunawaona wamama wakipenda kuvaa mavazi yanayo fanana na watoto wao ni tofauti kidogo na wababa ambao wao hawa match mara nyingi na watoto wao, hivi karibuni tumewaona wanamuziki Diamond Platnumz, Kusah pamoja na Rayvanny wakiwa wamevalia sare na vijana wao. Diamond na…
Looks We Spotted From Wema Sepetu, Hamisa Mobetto, Elizabeth Michael & More
This week was all about glam and beauty, watu maarufu wengi wameonekana wakiwa wamevalia mavazi yao mazuri iwe walikuwa wageni waalikwa sehemu au photoshoot, walipendeza na kuvaa mavazi stahiki, tunakuletea nani amevaa nini. Tukianza na Elizabeth Michael ambae amechaguliwa kuwa balozi wa  MVALISHE AKASOME, alifika…
Mavazi Ya Watu Maarufu Kwenye Mazishi Ya Mama Wizkid
Mwanamuziki kutoka Nigeria amefiwa na mama yake mzazi, na siku chache nyuma yalikuwa mazishi yake. Tofauti na sisi Nigeria wana utaratibu wa kumsherehekea alie farika wenyewe huita send off ceremony, huwa wanavaa na kupendeza, kucheza na kutunzana. Well tumeona watu maarufu walioenda kuhudhuria mazishi haya…
Viatu Vifupi Classy Vya Kuvaa Ofisini Ukiachana Na Mosimo
Japo wengi wetu tunavutiwa zaidi na mosimo kutokana na urahisi wake kwenye bei na ambavyo vipo comfortable lakini viatu hivi havifai kuvaliwa ofisini, hivi viatu haviupi muonekano wako wa kazini classy look badala yake vinadidimiza vazi lako. Tumekuwekea ni viatu vipi vifupi unavyoweza kuvaa na…
Namna Ya Kuvaa Body Suit Endapo Una Tumbo Kubwa / Kitambi
Bodysuits ni mojawapo ya mitindo nnayopendwa kwa sasa. Vazi hili ni zuri kwa maana hutumii nguvu nyingi kujua uvalie nini linaingiliana karibu na kila aina ya vazi, suruali, skirt, kaptula etc. Lakini endapo una tumbo kubwa unaweza kusita kidogo kuvaa body suit kwa maana zinachoresha…
Pieces To Invest In As A Plus Size Tips From Anitha Closet ( Part 2)
Kama wewe ni plus size na unapata shida kujua ni pieces gani za mavazi u-invest in ili uweze kupendeza kama wengine basi hii inakuhusu tumefanya mahojiano na Plus Fabulous na ametutajia ni pieces gani ambazo mwanamke mnene anaweza ku-invest in zikamsaidia kwenye mavazi yake. Unaweza…
Reviewing Mange Kimambi’s Bridal Look
Mange Kimambi ameolewa weekend hii na aliamua kuwa simple na look yake lakini hii haimaanishi look yake hii ilikuwa cheap, tume dig deep na kujua kiatu chake ni cha thamani gani na haja disappoint, angalia video hapo chini kujua zaidi
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…