Lavie Makeup Vs Sanch In Elisha Red Label Statement Dress
Another Furaaaahi Day, Another Friday Fashion Battle Field, Leo tunae makeup artist Lavie Makeup na mwanamitindo Sanch ( Surraiya) wote wawili wakiwa wamevalia statement dress kutoka kwa mbunifu Elisha Red Label. Wa kwanza kumuona katika gauni hili alikuwa mwanamitindo Sanch ( Surraiya) ambae yeye alivaa…
Mid Week Slayage From Nancy Sumari, Lavie Makeup, Lulu Diva & Lillian Kamazima
Oh Well Oh Well, seems like fashion Santa ameitembelea Tanzania mapema kabisa, week hii tumeona watu maarufu wakiwa wamependeza mno. Na wote walionekana kuchagua jumatano kama siku yao ya ku-post mitoko yao. Former Miss Tanzania Nancy Sumari alionekana kwenye hii sequin dress, its a full…
Reviewing Haji Manara Outfit On His Wedding
Msemaji wa Simba bw. Haji Sunday Manara amefunga ndoa week iliyopita, alikuwa na sherehe ya kufunga ndoa na ukumbini, ambapo tumeona amevaa outfit nne yeye pamoja na mkewe na tupo hapa ku-review outfits zao. Siku ya ndoa haji alivaa kanzu nyeupe yenye details za gold…
Reviewing Beauty Legacy Gala 2020 Red Carpet
harambee la The Beauty Legacy Tanzania 2020 lililowajumuisha malkia walioshinda Taji la urembo Tanzania lenye lengo la kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia watoto na wamama wenye uhitaji maalumu limefanyika December 12 jijini Dar es Salaam. Kulikuwa na red carpet ambapo sisi tumeamua kuiita expensive…
Get To Know Black Tie Theme For Beauty Legacy Gala Tanzania 2020
Hii inaweza kuwa too little too late kwa sisi kuandikia inawezekana umeshaandaa nguo yako ya kuvaa kesho kwenye Beauty Legacy Gala Tanzania 2020, lakini tumeona ni vyema kutoa hii Elimu kabla baadhi yenu hamjatoka na kuharibu theme ya watu Black Tie Attire Theme – Ki…
Zuchu Vs Maua Sama In Mini Skirt Suit
Its been a minute kuona watu wamevaa mini skirt suit ni kama watu wamezisahau hivi kwa sasa suit zinazotamba ni za suruali lakini tunaambiwa dare to be different na hiki ndicho ambacho wanamuziki Zuchu na Maua Sama wamefanya. Wao wameonekana kutokutaka kuwa sawa na wengine…
Jihan Dimack, Sylivia Bebwa & Gigy Money Serving Lewks
Week iiyopita ilikuwa na events mbalimbali, watu maarufu wengi walionekana kuhudhuria event hizo na hapa tunawaona wadada hawa watatu ambao tulipenda mionekano yao. Miss Tanzania 2019/2020 Sylivia Bebwa was all shiny in Mac Couture ball dress, tumependa hii look on her, and this is how…
Mambo 3 Yaliyotuvutia Kutoka Katika Event Ya Miss Tanzania 2020
Hatuwezi kuacha kusifia pale sifa zinapo stahiki na kukosoa pale ambapo tunaona pamekosewa hili kujenga Miss Tanzania bora kwa miaka ijayo, tuanze kwa kusema tumefuraishwa na event ya Miss Tanzania mwaka huu. Imeonekana kwamba waandaaji wameanza kusikiliza maoni ya wengine pia. Leo tunaleta mambo matano…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Mshono Wa Kitenge Unao-trend
Kitu kimoja kuhusu kitenge ni huwa hakipitwi na wakati kama ambavyo zilivyo fabric nyingine kama polka dot, stripes kitenge kipo toka enzi na enzi na kinashonwa kutokana na era iliyopo. Leo tunawaangalia watu maarufu mbalimbali ambao wao wametuonyesha namna ya kuvaa kitenge kwa mshono huu…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…