Mionekano Ya Mbosso Katika Wasafi Festival
Selemani inaatuletea new Mbosso tunaweza kusema Mbosso Khan amewekwa pembeni na huyu tunaemuona ni Mbosso Sele, tumeona namna Mbosso anajaribu kuleta uhalisia kwenye mavazi kutoka kwenye wimbo wake unaotamba kwasasa, tumefanya review ya mionekano yake tulioina mpaka sasa, unaweza kuangalia hapo chini review yetu na…
Namna Ya Kustyle Jeans Ofisini
Jeans ni vazi ambalo linaaminika kuwa ni vazi la casual, lakini unaweza kulivaa sehemu yoyote endapo tu utali-style kwa namna sahihi kutokana na eneo unalokwenda. Vazi hili ni vazi zuri kutokana na kwamba lipo comfortable lakini pia kama utavaa vyema kazini linaweza kukufanya u-stand out,…
Namna Za Ku Style Biker Short / Tight Fupi Weekend Hii
Biker short ni moja kati ya vazi ambalo kwasasa kila msichana analo, biker ni rahisi sana kuvaa na pia inafaa kuingilia sehemu mbalimbali ambazo sio formal au sherehe maalum, kama unaenda matembezini, unaenda movies unaweza kuvaa biker na ukapendeza CasualUnaweza kuvaa biker short casual kwenye…
Anitha Closet Na Tips ZaKuwa Mama Na Kupendeza Muda Wote (Part 1)
Inawezekana umekuwa mama kwa mara ya kwanza hivi karibuni au ni mama wa muda mrefu lakini muonekano wako hakuridhishi, tumekuletea interview na moja ya plus faboluos na mama wa watoto wanne na bado ana keep it fresh & stylish, Anitha Closet ambae ametuambia namna yeye…
Mohamed Dewji Rocking The Dior Oblique Shirt And Dior Granville Loafers
Ukiachana na Mo Dewji kuwa anavaa suit mara kwa mara kuna zile siku ambazo huwa anaamua kuwa relaxed na mionekano yake, kama ambavyo tumemuona na hii look aliyopost kwenye account zake za mindao ya kijamii akiwa amevalia Dior oblique short sleeve shirt. white trouser akamalizia…
Jux & Ommy Dimpoz Being The Fashion Duo We Deserve
Kuna combination nyingi sana zinatengenezwa katika mambo ya entertainment but kuna duo ya Jux na Ommy dimpoz ni moja ya duo bora kuwahi kutokea katika upande wa fashion kwa music artist’s. Nadhani wote tunajua kuwa Jux ni moja ya mwanamuziki wanaopendeza sana ila hauwezi kumsahau…
Miriam Odemba Shot Fired Kwa Wanaovaa Rangi Nyeusi Kwenye Sherehe
Moja kati ya wanamitindo wakubwa kutoka Tanzania na ambao huwa hawaogopi kutoa maoni yao kuhusu maswala mbalimbali ni Miriam Odemba, Miriam amekuwa akitoa maoni yake kwenye sekta mbalimbali kuanzia za serikali, mahusiani,mitindo na nyingine nyingi. Juzi katika mtandao wake wa Twitter na Instagram alitoa maoni…
Nguvu Ya Rangi Na Athari Zake Katika Kazi
Ukweli kuhusu kazi ni kwamba inachukua sehemu kubwa ya maisha yetu, Muda unaotumika kazini mwetu, iwe ofisini, kwenye duka, au mahali popote pa kazi,Kwa hiyo, ni muhimu kufikiria jinsi tunavyoweza kutumia muda huu vyema, ikiwepo kutafuta furaha katika kazi yetu na katika daily routine zetu….
Reviewing Looks From Wema Sepetu’s Birthday Party
Kunapotokea event kubwa huwa macho yetu yanakuwa kwenye wageni waalikwa as tunajua kila mmoja wao anataka kuvaa apendeze na awe kwenye ile list ya best dressed katika siku hio, Ijumaa Wema Sepetu amesherehekea siku yake ya kuzaliwa na watu maarufu mbalimbali walihudhuria katika birthday party…
Wema Sepetu Celebrated Her Birthday In 3 Looks
Wema Sepetu ameongeza mwaka mwingine tena na kama kawaida yake amesherekea siku yake hii ya kuzaliwa in a glamorous way, ikiwa alivaa 3 looks tume review mionekano yake yote mitatu, unaweza kuangalia review yetu hapo chini Tuambie ni look gani umeipenda zaidi?
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…