Love Jua Kali Kuhusu Plussize Na Body Shamers
Katika segment yetu ya plus fabolous tumepata nafasi ya kufanya mahojiano na muigizaji Hellen Herman ambae wengi tunamfahamu kama Love Juakali, AFS: Tuanze Na Historia Yako Kwa Ufupi. Love: MY NAME IS HELLEAN HERMAN BORN IN 9th APRIL COUPLE OF YEARS AGO IN TANGA CITYBEING…
Pata Kumjua Designed By Shuu
AFS: Tukufahamu Kwa Ufupi? Shuu: naitwa designed by shuu AFS: Kwanini Uliamua Kufanya Wedding Dresses? Shuu: kwa sababu ni kitu ambacho napenda toka nikiwa mdogo kifupi napenda mitindo na urembo AFS: Huwa Unatoa Wapi Inspiration Zako? Shuu: Nikiangalia nilipotoa napata nguvu ya kupambana zaidi! Mimi…
Clogs Kutoka Kwa Balenciaga X Crocs Zinavyo Trend Kwasasa
Kama ulikuwa unamawazo kwamba hii trend ya rlocs itaisha anytime soon well tunakushauri chukua kiti ukae kwa maana inaonekana brand zimeamua kuzirudisha kwa kasi ya radi. Balenciaga na Crocs waliungana na kutoa baadhi ya viatu ambapo mojawapo ni hizi clogs na zinaonekana kuvutia watu maarufu…
Best Dressed At Tanzania Music Awards 2021
Tuzo za Muziki Nchini Tanzania zimerudi na mwaka huu zilifanyika Jumamosi ya 2.4.2022 ambapo wasanii mbalimbali walihudhuria, wengine waliondoka na Tuzo lakini wengine wakiwa mikono mitupu. Hongera kwa wale waliojishindia na waliokosa wajitahidi zaidi mwaka huu. Jicho letu sisi lilikuwa kwenye mavazi kwa wale waliovaa…
Mahaumes Aongelea Kuhusu Kufanya Kazi Na Jokate Mwegelo
AFS: Tunaomba Tukujue Kwa Ufupi Mahaumes: Jina langu ni Mahaumes Patron born and raised in Dar. Started designing in 2017 AFS: Je Inspiration Behind Ile Gauni Ni Nini? Mahaumes: Inspiration yetu ilikua ni to present a woman in different ways like she can be working…
Gucci Affairs With Pokello Nare
Talking about rich auntie, Pokello Nare kutoka Zimbabwe ndio rich auntie ambae hana kelele ila she makes her wealth speak for itself. Week hii Pokello amepost outfit yake ambayo ni twoset za Gucci, Diana Handbag kutoka kwenye kampuni hiohio ya Gucci akamalizia muonekano wake na…
All The Looks From Malkia Wa Nguvu 2022
Malkia Wa Nguvu 2022 ilifanyika Jumamosi Machi 26, ambapo watu maarufu mbalimbali walihudhuria hafla hii. Tupo hapa kukuletea nani alivaa nini na je ilikuwa yes au no? Lavie Makeup dressed by Thee Red Label, Photo @20r_touchez,Mua @laviemakeup & Hair Hair @empress__lexygoodhair Dayna Nyange dressed by Dressed 👗 @designed_by_shuu, MUA…
Zuchu Anahitaji Msasa Kwenye Vitu Hivi Vitatu
Zuchu amepiga hatua kubwa sana ki-muziki, kwenye ku-pose kama tunakumbuka zamani aliwa ha-relax lakini pia amepiga hatua kwenye mavazi. Anavaa according to her age na status, well kuna vitu vidogovidogo ambavyo anahitaji kuviangalia ili awe na ile star quality. Kutembea kama kuna msanii ana mwendo…
Reviewing Diva Loveness Malinji Wedding Reception Outfits
Mtangazaji Diva Loveness Love au Diva The Bawse amefunga ndoa na mpenzi wake wa week mbili ( according to them walianza mahusiano ndani ya week mbili wakaamua kufunga ndoa) bwana Abdulrazak Salum, Juzi walisheherekea ndoa yao kwa kufanya reception pale Hyatt. Well kama ilivyokawaida kwetu…
Otile Brown Flaunting His $695 Balenciaga Crocs Boots
Mwanamuziki kutoka Kenya, Otile Brown ambae amesheherekea siku yake ya kuzaliwa jana ameonekana akifungua / Unboxing zawadi ambayo ni Balenciaga Crocs Boots zinazouzwa $695 sawa na Tsh 1,610,315.00/- Oh well kama ni mpenzi wa fashion utajua hizi crocs boots zimekuwa zikitamba mtandaoni na ni Kanye…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…