High Waist Jeans Do And Dont’s
High wasted jeans ni jeans ambazo zinakuwa ndefu mpaka tumboni na zinashika kiuno kwa jina lingine wanapenda kuziita mom jeans, aina hii ya jeans inakufanya kuwa classic , casual , sexy and chic katika muonekano wako ila inategemea umevaaa na nini. Katika kipindi cha hivi…
Tabia 6 Za Kimavazi Zinazo Zinazo Punguza Mvuto Wako
Ladies, sote huwa tumeshawahi kufanya makosa linapo kuja katika swala la mavazi lakini kizuri ni kwamba unaweza kubadilika, wakati wa ukuaji unakuwa unajitafuta mpaka pale ambapo unakua na kujua ni kipi kinakufaa hii hutokea hata kwenye mavazi unaweza kugundua style yako ya utotoni si sawa…
Wema Sepetu & Paula Failed The Assignment
Wema na Paula walihudhuria event ya Marioo ambapo alikuwa ana release album yake inayoitwa the kid you know. Event ilifanyika katika ukumbi wa mlimani city na wengi walihudhuria akiwepo chimama Wema Sepetu na Paula. Wema alivalia red & black outfit hii outfit ina mambo mengi…
Reviewing The Kid You Know Album Release Looks
Jumamosi iliyopita ilikuwa album release ya msanii Marioo, ambapo aliamua kufanya event pale Mlimani City na kuhudhuriwa na watu maarufu na fans wake. Well kama kawaida yetu tuliangalia nani amevaa nini na Je kapendeza au lah? Bado tunaona kuna tatizo la kujua cha kuvaa kutokana…
Namna Ya Kuonekana Classy & Elegant Ofisini
Ladies wewe ni mmoja kati ya wale ambao unajitahidi sana kazini uonekane elegant na classy lakini unaona bado haujafanikiwa? Inawezekana kuna vitu vidogo vidogo una miss katika mionekano yako.Leo tunakuletea tips zinazoweza kukusaidia uonekane classy na elegant Fitted outfits / Right Materials Hakikisha nguo zako…
KWA NINI UVAE BLACK OUTFIT
Watu wengi huwa hatujui black outfit ni nini ni combination ya outfit yako kutoka juu mpk chini Kwa mfano unaweza vaa little dress , jeans na T-shirt ila zote ziwe black. Black outfit ni moja ya mavazi ambayo yako tofauti na leo kunaletea sababu baadhi…
Reception / Wedding Guest Dresses Inspiration From BobRisky
Anaitwa Okuneye Idris Olarenwaju lakini wengi tunamjua kama Bobrisky ni cross dresser kutoka Nigeria na moja kati ya watu maarufu wanao vaa vyema, leo tunakuletea reception / wedding guest dresses unazoweza kuchukua kutoka kwake Rangi alizo zitumia ni common colors ambazo hutumika katika harusi mara…
Viktor & Rolf Showcase Floating Gowns At PFW 2023
Wabunifu Viktor & Rolf wameweka headlines katika Dunia ya mitindo baada ya ku-showcas collection yao inayoitwa Late Stage Capitalism Waltz’, ambapo katika collection hio kulikuwa na magauni yanaelea. Magauni haya yalibuniwa na kuvaliwa kwa namna ya kipekee, ambapo yalikuwa hayapo mwilini bali yalishikiriwa na gauni…
Je Ni Sawa Kuweka Handbag Yako Mezani?
Dear ladies, unavyobeba handbag yako inaonyesha/kusema vingi kuhusu wewe in terms of personality / style lakini pia inaonyesha tabia yako. Kuna vitu vidogo ambavyo huwa hatuvitilii maanani au kutokuona maana yake lakini kumbe vinaonyesha / kusema vitu vikubwa kuhusu sisi hasa kwa wale ambao wanajua…
Reviewing Nitongoze by Rayvanny Ft Diamond Video Looks
Nani ambae ana heart break na haijui huu wimbo? wimbo una trend na unagusa wengi, kama wengine mimi nilikuwa mmoja ya watu ambao walikuwa wanasubiri hii video itoke, kiukweli ime ni-disappoint kidogo nilijua itakua more of dancing video ila director kaamua kupita kushoto, sio mbaya…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…