Reviewing Jokate Mwegelo’s Birthday Outfit
Aliyekuwa mwanamitindo na sasa ni mwanasiasa, Jokate Mwegelo juzi alisheherekea siku yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 35, Jokate alifanya photoshoot kwaajili ya siku yake hii muhimu na sisi tupo hapa kufanya review ya muonekano wake katika photoshoot hio. alivaa suit ambayo ina flower detail…
Zara Quilted Chain Strap Shoulder Bag Inavyotrend Kwasasa
Imekuwa muda mrefu toka tuwaletee vitu vinavyotrend Duniani kwasasa well we are back na kuanza tunaanza na hii bag kutoka katika kampuni ya mavazi ya Zara. Kama wewe ni mpenzi wa handbag na hujui bag ipi ipo kwenye trend basi leo tunakuletea hii kwa ajili…
Surgery Aliyofanya Muna Love
Mwaka jana Rose Alphonce au Muna Love alitangaza kufanya surgery 11, na mwaka huu alirudi aki-serve bowd kwenye mitandao ya kijamii. Kwa bahati mbaya kwenye surgery yake ilianza kumletea matatizo ambapo ilibidi arudi hospital kuangaliwa zaidi. Muna alitangaza kufanya surgery 11 ambapo ambazo alizisema na…
Fashion, Surgery & Body Shaming With Sishkiki Sikamatiki
AFS: Tungependa Tukujue Kidogo Jina Lako Halisi, Masomo Etc Sishkikii: Nafahamika kwa Sishkiki sikamatiki. As first & lastname. Lol. A graduate at UDSM that majored in social science. AFS: Kwanini Sishkiki Sikamatiki? Sishkiki: kwasababu sishkiki. 😄Nilitaka jina linitambulishe kabla mtu hajanifahamu vizuri. AFS: Tumeona Unafanya…
Elisha Red Label Talk’s About Nandy’s Traditional Wedding Dress
Hongera kwa mwanamuziki Nandy na mpenziwe Billnas ambao hivi karibuni wamevishana pete na kufanya Traditional Wedding, katika Traditional Wedding Nandy alivalishwa na mbunifu Elisha Red Label ambae tumepata nafasi ya kuongea nae kuhusu vazi alilomvalisha mwanamuziki huyo, AFS: Tunaomba Tukujue Kwa Ufupi Elisha: I am…
Kyamirwa Talks About His Original Design Dress
AFS: Tunaomba Tukujue Kwa UfupiKyamirwa: In a nutshell, a born and raised Tanzanian Fashion Designer. Craft experience in sewing over 10 years. Owner and Creative Director of a fashion company, Kyamirwa, mainly focused on exquisite and detail-attentive bridal and evening dresses AFS: Hii Ni Original…
Rihanna Arudia Kuvaa Jacket Hili Baada Ya Miaka 7
Major congratulations to Bad Gal Riri na mpenziwe Asap Rocky ambao wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza, As usual Rihanna never disappoints amekuwa aki-slay maternity looks zake back to back kuanzia pregnancy revealing photoshoot, to street style & red carpets. Lakini ambalo tumeona hivi karibuni…
3 Couples Who Are Giving Couple Goals
Kama tulivyosema ni mwezi wa kusambaza upendo, wakati wengine tukijisambazia wenyewe, wengine kwa marafiki na familia wengine wao wanasambaza upendo kwa wapenzi wao. Week hii tumeona couple za watu maarufu kadhaa wakisambaziana upendo ambapo tumewaona Auntie Ezekiel Na Kusah wakiwa wamevalia all black outfit, Auntie…
Ladies In Red For Valentines
Love season is in the air, tarehe 14 February ni siku ya wapendano ambapo huwa inaidhimishwa kila mwaka, na kwasababu hii wengi huchagua kuvaa rangi nyekundu kwakuwa inaaminika ni rangi ya upendo. Well watu maarufu mbalimbali wameonekana kufanya photoshoot kwa ajili ya siku hii na…
Escapade Collection By Martin Kadinda
Mbunifu Martin Kadinda ameachia collection yake iitwayo Escapade huko Mawemawe Manyara, tumepata muda wa kuongea na kufahamu machache kuhusu collection hii, AFS: The escapade collection-unaweza tuelezea inspiration behind it? Martin: Mostly my collection are inspired by the work of art, from fabric prints, nature and…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…