PARIS FASHION WEEK HAUTE COUTURE SUMMER/SPRING SS 2018
Paris Fashion Week 2018 hakika huiteka dunia maana wabunifu nguli duniani huonyesha collections zao katika jiji hili la mahaba na mitindo. hususani wiki ya Haute Couture wabunifu hutupa ladha za kipekee maana hadi uweze kuwa na a Haute Couture collection, kuna masharti lazima mbunifu ayatimize….
MOSCHINO’S SPRING 2018 COLLECTION IS EVERYTHING
We love us some Moschino huyu designer yupo very creative mwaka jana alikuja na collection ya mavazi ambayo yameunguzwa na moto hatukuziona sana kwenye red carpet lakini tunadhani kwenye hizi video music au movies zimetumika sana mwaka huu amekuja na collection ambayo ameishow case Milan…
Kim Kardashian Posing As First Lady In Interview Magazine Cover
Kama una mfuatilia rapper Kanye West utakua unajua mpango wake wa kugombea uraisi mwaka 2020, kama atashinda au atagombea kweli uraisi na akashinda basi mwanadada Kim Kardashian West atakuwa first lady wa Us, wengine wangependa kuona Kim na Kanye watafanya vitu gani white house lakini…
Red Carpet The 2017 Nickelodeon Kids’ Choice Awards
The 2017 Nickelodeon Kids’ Choice Awards Ime Happen Juzi na watu maarufu mbali mbali walikuepo akiwemo Zendaya, Kevin Hart, Maria Carrey Nick Cannon na wengine wengi. Hapa ndipo unapo ona jinsi gani wenzenu wana chukulia muonekano serious, watu hawakuwa tuu much kama wanaenda kwenye awards…
Ciara Maternity Photo shoot for HarpersBazaar.com
Ciara A.K.A Cici ni mwanamuziki kutoka Nchi za Nje ambae kwa sasa ana ujauzito wa pili, Kama humjui aliimba like a boy (fav jam kutoka kwake), Promise,Never Ever and the list goes on. Well ni mjamzito kwa sasa na hizi ndizo photo shoot zake kwa…
The 2017 People’s Choice Awards red carpet
The People’s Choice Awards 2017 imefanyika Microsoft Theater jana January 18, 2017 mjini Los Angeles, California. Hakuna muda ma fashionista tunakuwaga macho kodo kama muda wa red carpet, Katika hii red carpet tuna tatu bora zetu ambapo wa kwanza ni Jennifer Lopez she look gorgeous…
RED CARPET GOLDEN GLOBE AWARDS 2017
2017 Golden Globe Awards imefanyika jana (January 8) katika hotel ya Beverly Hilton Hotel iliyopo Beverly Hills, California. Sherehe hizi huwa zina honor wachezaji movies, movies na American Television, Na hawa ni mastaa walio hudhuria na vivazi vyao vya siku hio
The British Fashion Awards 2016
The british fashion Awards ime fanyika usiku wa kuamkia jana ambapo Gigi Hadidi ame shinda tuzo ya model of the year yaaay (Gigi is our favorite), na hivi ndivyo baadhi wa watu maarufu walivyo tokelezea katika usiku wa tuzo hizo Lily Laura Haddock Gigi Hadid…
Mitoko tuliyo ipenda ANGEL BALL 2016
Angel Ball ni event inayo fanyika kila mwaka ambapo watu huwa wana jitolea vitu mbali mbali kwa ajili ya ku support cancer research, huwa wana kutana watu mbali mbali, wafanya biashara, models wana muziki nakadhalika. Hizi ndizo tulizo zipenda Rachel Hilbert Kriss Jenner Toni Garrn…
GLAMOUR MAGAZINE WOMAN OF THE YEAR
Glamour Magazine Woman Of The Year ime fanyika jana, ma staa mbali mbali walikuwepo akiwemo Gweni Stephani ambae ame shinda award hii. Baadhi ya tulizo zipenda katika red carpet Ashley Graham Cara Delevingne Gweni Stephani Ibtihaj Muhammad Leona Lewis Caithlyn Jenner Freida Pinto Chanel Ima…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…