Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…
Pata Kumjua Josh Ipyana Mshindi Wa Master Tanzania 2019
Shindano la Master Tanzania liliweza fanyika mwezi huu kwa mara ya kwanza nchini, na Josh Ipyana kuibuka mshindi, Master Tanzania 2019. Ili kuweza kumtambua na kulielewa shindano tuliweza zungumza naye: AFROSWAGGA: Waweza tuelezea Master Tanzania 2019 lililenga kutafuta kijana wa aina gani? JOSH: Master Tanzania…
Mister Model Worldwide Interview With Thom Nguka
Mfahamu Mwanamitindo anayeiwakilisha Tanzania katika fainali za Mister Model World Wide 2019. Thom Nguka mwenye umri wa miaka 26 ni mwanamitindo (model) anayefanya vizuri katika tasniia ya mitindo akiwa chunk ya usimamizi wa Pulse Models Management toka nchini Afrika Kusini. Pia nchini tumemuona katika majukwaa…
MBUNIFU HAMEED TOKA MEDDY FASHION HOUSE KAJA NA BRAND YAKE YA BOXERS
Hameed the designer toka Meddy Fashion House na boxers collection. Kwa muda gani sasa umekuwa ukifanya kazi ya ubunifu wa mavazi? Hameed: For 8 years nipo ndani ya shughuli/kazi ya ubunifu. PATA KUMJUA HAMEED ABDUL MBUNIFU KUTOKA MOROGORO Great. Wapi ulipata idea ya kubuni boxers…
Tips Mbalimbali Za Afya Ya Mwili Kutoka Kwa Fitness Enthusiast Juriya Fit
Kufanya mazoezi,kufuata diet na ku-stick kwenye hivi vitu inaweza kuwa ni kazi ngumu kwa wengi, wengi huwa tunatamani kuwa na mwili wa aina fulani lakini kufanya njia za kufikia katika mwili huo huwa ni ngumu, leo tunakuletea interview ambayo tumefanya na fitness enthusiast kutoka Tanzania anaeishi…
Pata Kumjua Queen Mugesi Miss Grand Tanzania 2018
Queen Mugesi ni mwanamitindo kutoka Tanzania, ambae mwaka huu alikwenda kutuwakilisha katika shindano la Miss Grand International yaliyo fanyika Myanmar (Burma), japo hakuweza kurudi na taji vazi la taifa la Queen Mugesi liliweza kuingia katika top 10 ya Miss Grand International National Costume, tumepata nafasi ya…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…