Drone Powered By AI Can Detect Obstacles
Duis sollicitudin nibh et libero rhoncus ultricies. Maecenas risus ipsum, imperdiet ac luctus sit amet, volutpat nec libero. Fusce mattis non nisi quis tincidunt. Donec dictum velit sed feugiat laoreet. Sed justo magna, sollicitudin et dignissim ac, venenatis at tortor. Sed finibus faucibus tincidunt. Mauris…
CRUSHING EMPRESS JAMILA STYLE
Empress jamila ni fashion blogger kutoka Ghana lakini pia ni personal shopper,Leo kilicho tufanya awe crush qwtu ni jinsi empress anavyo weza kuji style. yupo fashionable na anaweza kubadilisha vazi lolote aka lifanya ulipende boyfriend ripped jeans nigerian swagg wedding guest little b;ack dress bandage…
BADO TUNAHITAJI MA STYLIST KATIKA VIDEO SHOOTING
Mziki unakua tumeshavuka mipaka, kwasasa muziki wetu unapigwa sehemu mbalimbali duniani. Ni wakati muafaka kwa wasanii wetu ku consider kuajiri au kutafuta mastylist ambao wanaweza kuwavalisha katika video zao. Ni aibu kuona msanii ana vaa kitu cha kawaida sana katika video nzuri ambayo imefanyika katika…
JINSI AMBAVYO LULU,VANESSA,RIO NA DIAMOND WAME VAA DENIM ON DENIM TREND
Denim on Denim ni trend ambayo ipo na itaendelea kuwepo, luo tume jisiki kukumbusha jinsi hawa watu maarufu wanne walivyo tinga hii style na kunoga hasa, una weza kuwa inspired ukaiga na wewe diamond platnumz rio stylish vanessa mdee elizabeth michael
AZZEDINE ALAIA PUMPS KIATU KINACHO WAVUTIA WENGI
Azzedine Alaïa Ni sandals zilizo onekana kuwa vutia watu wengi katika mwaka huu 2016, karibu watu wengi wanao penda mitindo wame onekana wakiwa wame valia sandlas hizi wakiwemo ma fashionista, wanamuziki na wana mitindo mbali mbali, Azzedine Alaïa sandals zina sifika kwa ubora wake na…
KERRY WASHINGTON AONYESHA KIPILIPILI CHAKE
Kerry Washington au Oliver Pope kama wengi tunavyo mjua ame kuwa Cover girl wa gazeti la ADWEEK ambapo ameongelea maswala mengi kuhusu maisha, kazi na mahusiano katika vyote hivyo amejieleza vizuri lakini tulicho notice sisi watu wa mitindo ni kwamba katika cover hii Kerry ametumia…
UREMBO MPYA MJINI
Wiki iliyo isha ilikua ni wiki ya mitindo, yameonekana mengi lakini hili lime tushangaza kidogo. Huu ni Urembo wa uso ambao umebuniwa na Sarah & Sebastian, wengi wame upenda lakini bado kuna maswali yana tutatiza Je Utaweza kuongea ukiuvaa? na je Utainama kweli? hauwezi kukuchoma…
VILEJA VYA NAZI
VILEJA VYA NAZI Mahitaji: Vikombe – 4 nazi aina ya Dessicated Kijiko – 1 kidogo Vanilla Kopo moja la Maziwa matamu ya Condensed Kijiko – 1 kidogo baking powder Kijiko – 1 kikubwa siagi iyayushe Na Icing sugar kikombe 1 kwa kupambia. NAMNA YA KUTAYARISHA:- Changanya vyote hivyo…
VITUMBUA KWA MCHUZI WA KAMBA
Vitumbua Mahitaji na vipimo mchele kilo 1 nazi kubwa 2 hiliki kiasi sukari robo kilo hamira kiasi kijiko kimoja nusu ( itategemea aina ya hamira) mafuta nusu lita mayai 3 (ukipenda) namna ya kupika uroweke mchele uliokwisha uchambua vizuri na kuupeta. utandaze sehemu safi…
JINSI YA KUANDAA UJI WA UROJO
Mahitaji: viazi mviringo/mbatata – kg1 unga wa ngano – 1/2kg (nusu kilo) binzar (rangi ya mchuzi) – kijiko kimoja malimao au ndimu – 4 chumvi kiasi maji ya kutosha kulingana na mahitaji kidokezo:Unaweza kuongeza vitu vya ziada kama nyama au mboga mboga kulingana…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…