Dondoo 7 Za Kutunza Ngozi Yako Wakati Huu Wa Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani
Ramadhani ni ibadah ambayo inatekelezwa na waislamu wote Duniani, kwenye ibadah hio ambayo inahusisha kujizuia kula na kunywa pamoja na mengineyo. Inaweza kukupa wakati mgumu ngozi yako kuonekana bora kwa wakati huu. Hizi ni Dondoo 7 za kufanya wakati huu wa Ramadhan ili ubaki na…
Usisahau Shingo Katika Kujali Ngozi Yako
Moja ya makosa yanayotokea mara kwa mara kwenye kupaka vipodozi, kujisafisha na kujali ngozi zetu huwa tunasahau sana kuijali ngozi ya shingo, unaweza kukuta ngozi kote ni nyororo na safi lakini shingoni ni pachafu na hapana mvuto kama wa sehemu nyingine. Ukiachana na kutokuwa na…
Box Braids with Curly Ends Trend
Kama wewe ni mpenzi wa rasta basi tunauhakika utaupenda huu mtindo ambao una trend kwasasa, unaitwa Spanish braiding extensions au box braids with curly ends. Style hii ya rasta inaishia na mawimbi mwisho ambayo inakupa nafasi ya kuzi-style namna mbalimbali bila kuchosha. Kwa wale ambao…
Makosa Ya Ngozi Unayoyafanya
Utaratibu kwa utuzaji ngozi umekuwa kitu cha kawaida na kizuri, wengi wetu tunachukulia serious sana hili swali kila mmoja wetu anatakakuwa na skin goals. Lakini unaweza kukuta unatumia vipodozi vizuri ila matokeo huyapati unayoyataka hapa sasa ndipo shida huanza, unajijali lakini matokeo hupati kumbe unafanya…
Faida Za Red Wine Katika Ngozi Na Nywele
Hakuna kitu kina kufanya ujisikie vyema baada ya siku ndefu na uchovu kama kukaa sehemu tulivu ukiwa unakunywa mvinyo (wine), ukiachana na kukufanya u-relax lakini pia mvinyo unafaida katika nywele na ngozi yako. Leo tunakupa faida 5 unazozipata kutokana na kunywa red wine. Kupambana na…
Himba Tribe Hair Style Trend
Inavyoonekana kwa sasa trend ambayo inatamba ni kusukia Himba tribe hair styles na hapa hatuongelei kuhusu nywele za mbenjuo, rasta bali ni hii hair style kutoka katika kabila la Himba, Nchini Namibia. Style hii ipo ipo muda mrefu na mabibi zetu walikuwa wakiitumia, ilipotea kutokana…
Umuhimu Wa Kusoma Lebo Katika Vipodozi
Wengi wetu tunatumia vipodozi mbalimbali katika ngozi zetu, iwe kwa kuondoa kitu fulani au kukifanya kiwe bora zaidi. Imezoeleka kuwatunanunua vipodozi hivi kwa mazoea iwe kwa kuambiwa au kushauriwa na dakitari. Mara nyingi huwa tunasahau kusoma lebo na kuona hakuna umuhimu kwa sababu tu kipodozi…
Mambo Matatu (3) Ya Kuzingatia Ili Kupata Kipodozi Kinachoifaa Ngozi Yako
Kuchagua kipodozi sahihi ni jambo la muhimu katika swala zima la kutunza afya ya ngozi zetu. Kitu chochote tunachopaka kwenye ngozi ni muhimu zaidi ya vile tunavyo fikiri. Baadhi ya watu huchagua kipodozi kwa nia ya kutatua matatizo fulani ya ngozi zao, huku wengine huchagua…
Fahamu Vipodozi Vitakavyo Haribu Mwili Wako
Ni haki na ni vizuri kujipendezesha na kuwa na muonekano mzuri kwani muonekano wako ni sehemu ya moyo na maisha yako. Ukiwa na muonekano mzuri utachukuliwa kama ni mtu wa kuheshimiwa, kupendwa na kuthaminiwa. Ukiwa na muonekano mbaya inakuwa kinyume chake, labda uwe na vitu…
Njia za Kutunza Ndevu
Ndevu zinaweza kuwa natural accesory kwa mwanaume kama tu zitatunzwa vyema na zinaweza kuwa kero kwa mwanaume na wanawake kama zitakuwa hazina matunzo, yes zinaweza kuwa kero kwa wanawake kutokana na kwamba wanawake wengi wanapenda wanaume wenye ndevu nyingi lakini si tu ndevu bali ndevu…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…