5 ways to improve personal hygiene
Kuna vitu unatakiwa ujue kuwa ni muhimu sana kwenye kuimprove your personal hygiene. Sidhani kama kuna mtu ambae havijui ila hivi ni njia tano ambazo ni muhimu sana kuzijua hili uwe na muonekano wa kuvutia na kuwa na nuru. Kuna baadhi ya vitu tunafanya then…
The Skincare Ingredients You Should Never Use Together
Unaweza kuwa na vipodozi vya ngozi vingi lakini bado ukawa unapitia magumu kwa maana ngozi bado haileti matokeo, hii inatokana na sababu kadha wa kadha lakini moja kubwa ni kwamba unaweza ukawa unatumia vipodozi ambavyo ingredients (viungo) vyake vinakingana yaani haviingiliani kwaio badala ya kutibu…
6 Celebrities Beauty Looks From Last Week
From bold and neutral looks there are ni shortage of makeup looks from Instagram, kila kona unayopita utakutana na mtu maarufu amepaka makeup yake na kupendeza vilivyo, hakuna ambae anapenda kuonekana hovyohovyo now days kila mtu anajua umuhimu wa makeup katika muonekano wake. Week iliyopita…
UnpopularOpinion: Kwasababu Kipodozi Kina Trend Haimaanishi Ni Kizuri
Kama kuna kitu ambacho wengi tunaumizwa nacho ni kutumia vipodozi kwasababu tu tumeona kina trend na kila mmoja anakisifia kimempenda au kupendezesha ngozi yake. Kwasasa makampuni mengi ya mavazi na urembo yanatumia influencers kutangaza bidhaa zao, inawezekana huyo anaesema hiko kipodozi kimempenda hata hajakitumia ilaamelipwa…
Kunywa Kinywaji Hiki Kupata Ngozi Yenye Mvuto
Kupaka vipodozi pekee hakuwezi kukupa ngozi nzuri, bali pia unahitajika kuangalia unachokula pamoja na life style yako, ikiwa kuna hitilafu kwenye kimoja wapo basi utatumia nguvu nyingi sana kupata ngozi unayoitaka. Ikiwa moja ya vitu ambavyo tunashauriwa kula kwaajili ya ngozi nzuri ni matunda na…
Otile Brown Afichua Jewelry Mpya Za Mbosso Ni Fake
Kenyan’s wamekuwa wakitu-blast sana mwaka huu,ikiwa hatujapoa na vuguvugu la Khaligraph Jones na Rappers wa Tanzania, mwanamuziki kutoka Kenya Otile Brown amefichua kwamba zile Jewelry mpya za Mbosso ni fake pia, tumesema ni fake pia maana alisema kwenye caption yake No More Fake Isht. Otile…
Je Ni Sawa Kuvaa Kikuku Ofisini?
Ikiwa accessories ni moja ya namna ya kunyanyua muonekano wako hasa kwa mavazi ya ofisini ambayo kuna muda yanaweza kuonekana too boring, lakini huwezi kuvaa tu accessory yoyote kazini kuna ambazo zinafaa na ambazo hazifai. Week iliyopita tulitoa tips kadhaa kuhusu accessories za kuvaa kazini,…
Kutokulala Vyema Kunavyo Athiri Ngozi Yako
Wakati uko busy ku-keep up na night life, kwenda club, kuangalia movies / series usiku kucha ndivyo ambavyo unaharibu ngozi yako pia bila ya kujua, ushauri wa wataalamu wa ngozi ni kulala kwa masaa 7 hadi 8, kulala vyema kunasaidia kupata ngozi nzuri lakini pia…
A Sneak Peek Into Jojo Gray’s Perfume Collection
Unapovaa na kupendeza unatakiwa ku-take kunukia serious pia, huwezi kuwa umevaa unavutia halafu ukisogelewa unanukia personal (lol), moja kati ya slayer mzuri kabisa Tanzania mwanadada Jojo Gray ametuonyesha ni kiasi gani yupo serious kwenye swala la kuvaa na hygienne. Kupitia insta story yake Jojo alishare…
Namna Nyingine Za Kutumia Mafuta Ya Vaseline
wengi ambao tunatumia mafuta ya mgando tutakuwa tunajua mafuta haya ya Vaseline, ukiachana kuwa ni mafuta mazuri ya ngozi unaweza kutumia mafuta haya kwa mambo mengine mbalimbali na yakawa msaada mkubwa. Wale ambao tunabandika nywele tunajua kasheshe la kutoa gundi ya fronta,l ukiachana na kuumia…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…