SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Urembo

5 ways to improve personal hygiene 

Kuna vitu unatakiwa ujue kuwa ni muhimu sana kwenye kuimprove your personal hygiene. Sidhani kama kuna mtu ambae havijui ila hivi ni njia tano ambazo ni muhimu sana kuzijua hili uwe na muonekano wa kuvutia na kuwa na nuru. Kuna baadhi ya vitu tunafanya then…

Urembo

6 Celebrities Beauty Looks From Last Week 

From bold and neutral looks there are ni shortage of makeup looks from Instagram, kila kona unayopita utakutana na mtu maarufu amepaka makeup yake na kupendeza vilivyo, hakuna ambae anapenda kuonekana hovyohovyo now days kila mtu anajua umuhimu wa makeup katika muonekano wake. Week iliyopita…

Urembo

Kunywa Kinywaji Hiki Kupata Ngozi Yenye Mvuto 

Kupaka vipodozi pekee hakuwezi kukupa ngozi nzuri, bali pia unahitajika kuangalia unachokula pamoja na life style yako, ikiwa kuna hitilafu kwenye kimoja wapo basi utatumia nguvu nyingi sana kupata ngozi unayoitaka. Ikiwa moja ya vitu ambavyo tunashauriwa kula kwaajili ya ngozi nzuri ni matunda na…

Urembo

Je Ni Sawa Kuvaa Kikuku Ofisini? 

Ikiwa accessories ni moja ya namna ya kunyanyua muonekano wako hasa kwa mavazi ya ofisini ambayo kuna muda yanaweza kuonekana too boring, lakini huwezi kuvaa tu accessory yoyote kazini kuna ambazo zinafaa na ambazo hazifai. Week iliyopita tulitoa tips kadhaa kuhusu accessories za kuvaa kazini,…

Urembo

A Sneak Peek Into Jojo Gray’s Perfume Collection 

Unapovaa na kupendeza unatakiwa ku-take kunukia serious pia, huwezi kuwa umevaa unavutia halafu ukisogelewa unanukia personal (lol), moja kati ya slayer mzuri kabisa Tanzania mwanadada Jojo Gray ametuonyesha ni kiasi gani yupo serious kwenye swala la kuvaa na hygienne. Kupitia insta story yake Jojo alishare…

Urembo

Namna Nyingine Za Kutumia Mafuta Ya Vaseline 

wengi ambao tunatumia mafuta ya mgando tutakuwa tunajua mafuta haya ya Vaseline, ukiachana kuwa ni mafuta mazuri ya ngozi unaweza kutumia mafuta haya kwa mambo mengine mbalimbali na yakawa msaada mkubwa. Wale ambao tunabandika nywele tunajua kasheshe la kutoa gundi ya fronta,l ukiachana na kuumia…