Your Skin Can Be Oily And Dehydrated At The Same Time
Kuwa na ngozi yenye mafuta haimaanishi basi huitaji maji wala kupaka mafuta kwenye ngozi yako, watu wenye ngozi zenye mafuta wengi utawasikia wakisema “sipaki chochote ngozi yangu tayari ina mafuta”. Lakini kuna bidhaa ambazo zinafaa wenye ngozi hizi lakini pia hata kama ngozi yako inamafuta…
Hereni Za Kamba Za Viatu Zinazouzwa Tsh 583,000
Kuna muda huwa tunawaza hizi brand kubwakubwa huwa wakitoa collection mpya wanaweka na kitu cha kushangaza ili tu wapate kuongelewa tunasema marketing strategy. Tumeona mara nyingi Balenciaga, Gucci, Yeezy wakiwa wanaongelewa kutokana na vitu wanavyo vitengeneza kuwa havi-make sense. Mfano mzuri ni hizi bow earings…
Kwanini Unatakiwa Kutumia Sunscreen Unapokuwa Unatumia Anti Aging Products
Kwasasa wengi wetu tuna kimbia kuzeeka, tunafanya mazoezi tunatumia bidhaa ambazo zinafanya ngozi zetu kuonekana kama za vijana japo umri umeshakwenda, well leo tunakuletea hii tip endapo wewe ni mmoja wa wale unaotumia anti aging products. Unapotumia Anti Aging Products unatakiwa kuwa muumini mzuri wa…
Paulah Kajala Wig Do A No No
Wig, lace fronts & weaves zinaweza kuwa rafiki mzuri wa wadada au zikawa adui mkubwa kwao, kupata wig inayoendana na sura yako ni jambo moja lakini kuwa installed vyema ni jambo lingine na tunaweza kusema hapa ndipo utata utapotokeaga. Paula Kaja ni moja kati ya…
Nandy’s Makeup Looks From Kibaokata To The Wedding
Makeup zinaweza kutumika kwa mambo mbalimbali na shughuli mbalimbali, ukiachana na kuwa inaboresha zaidi uzuri wako makeup inaweza kutumika kuficha vitu mbalimbali ikiwepo makovu na chunusi. Kwenye sherehe nyingi makeup imeonekana kutumiwa ili kuongeza uzuri kwa mgeni mualikwa au muhusika mwenyewe. Leo tunaangalia makeup looks…
6 Beauty Looks From Last Week
Ukiachana na kwenda kwenye events, iwe photoshoot au kuamua tu kujipenda wenyewe watu maarufu wamekuwa wakituonyesha namna ambavyo makeup artist huwa wanacheza na nyuso zao. Tunapenda kwamba kila mmoja wao kapewa look yake binafsi na sio kila makeup ya huyu inafanana na huyu. Lakini pia…
Je Upi Ni Muda Mzuri Wa Kutumia Vipodozi Vya Ngozi?
Umeshawahi kujiuliza kwanini cream ambayo wengine wengi wanaisifia lakini kwako haifanyi kazi? Umeshawahi kufikiria labda huitumii kwa muda unaotakiwa? ( Muda sahihi). Kujua ni bidhaa gani inafaa kutumia katika ngozi yako ni jambo moja ambalo wengi huwa tunalitilia maanani lakini huwa tunasahau kuuliza ni muda…
Tips Za Kupata Ngozi Nzuri
Kupata ngozi nzuri yenye kuridhisha ni janga, na hii hutokana na maswala mbalimbali kama tunavyokula, ukuaji, tunavyovitumia na mengine mengi. Lakini unaweza kupata ngozi nzuri endapo tu utajaribu kufanya mambo haya manne; Usitumie Bidhaa Za Ngozi Nyingi Wengi wetu tuna hii tabia unatumia kipozi hiki…
6 Makeup Looks From Last Week
Juma lililopita lilikuwa na mengi, sherehe, photoshoots, engagement etc. Na kama ilivokuwa kawaida kukiwa na matukio basi sisi huwa tunaangalia namna ambavyo watu maarufu wamehudhuria je mavazi yao yalikuwa on point? Je makeup na nywele zilitulia? Na tuna wrap up na kuwaletea hapa maoni yetu….
Ginger Orange Curly Hairstyle Inavyo Trend Kwasasa
Kuna mitindo mbalimbali ya nywele ina trend kwasasa, lakini ambao tumeuona unashika kasi ni hii wig ya rangi ya ginger orange. Tumewashuhudia watu maarufu mbalimbali wakiwekwa style hii hatujajua imetokea bahati mbaya, wanaigiana au kuna brand inatoa nywele hizi kwaajili ya kutangaziwa. Anyways tumewaona watu…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…