Beauty Brands Tanzania Tuwe Realistic
Mwaka huu tumeona maendeleo mengi katika ukuaji wa makampuni hasa ya vipodozi Nchini kwetu, tumeona watu mbalimbali wakianzisha kampuni zao za vipodozi na tunaweza kusema hii ni hatua kubwa mno. Lakini kuna jambo moja ambalo linatu-disappoint nalo ni kupaka makeup kwenye matangazo yao huku wakiwa…
Jinsi Ya Kuwa Na Ngozi Nyororo
Hatuwezi kukataa sote tunahitaji ngozi laini na nyororo, lakini mbinu au njia tunazotumia muda mwingine hutuacha na matokeo tusiotaraji kupata baada ya kufuata njia hizo. Ni kwasababu tumeumbwa tofauti na tunadhani kutumia njia iliyomsaidia mwingine itatusaidia na sisi na kugundua ni kinyume kabisa. Usijali, hizi…
Namna Ya Kupata Ngozi Ng’avu Kiasili
Sote tunapenda ngozi ng’avu, lakini hatujui nini cha kutumia tuwe tu wang’avu bila ya kuchubua ngozi zetu, kama ukienda kwenye maduka yavipodozi utasikia wadada wengi wana taka kipodozi cha kuwang’aza lakini kwa bahati mbaya wengi wetu tunakosea hili neno kwa kuwa mweupe, mtu anapo sema…
Finally Vanessa Mdee Ditched The Baby Hair Weaving
New Mom in Town Vanessa Mdee ame-upgrade nywele yake & we are happy about it, Vanessa amekuwa akiweka nywele yake moja ambayo inamuhitaji kuweka baby hairs na by the look of it kama sio hair stylist wake basi yeye mwenyewe hakuwa anazipatia hii ikasababisha gumzo…
Faida Za Tende Na Maziwa Katika Mwili Na Urembo
Umesha wahi kusikia au kuambiwa unywe tende na maziwa katika mwezi huu mtukufu? wengine huwa wanashauri unywe kama una fanya mazoezi, wengine ushauri kama wewe si mpenzi wa kula daku basi aumke unywe tende na maziwa vina aminika kwa kuwa na uwezo wa ku-boost energy…
Sababu Za Michirizi Mwilini Na Namna Ya Kuondoa
Michirizi katika ngozi imekuwa kero kwa watu wengi,huku wengi wakihangaika bila mafanikio ya kuondoa tatizo hili,leo tuangalie sababu za kupata michirizi katika ngozi na tiba yake. NJIA ZA KUONDOA MICHIRIZI (STRETCH MARKS) SABABU ZA KUPATA MICHIRIZI Matumizi ya kemikali za kujichubua na vipodozi vikali. Kemikali…
Mwanaume Fuatisha Haya Kupata Muonekano Mzuri
Kama una dhani muonekano mzuri ni kwa wanawake tu basi unakosea sana, wanaume wana ngozi ngumu za sura kwa sababu ya kunyoa ndevu na kutembea juani, pia hupata chunusi na madoa meusi wakinyoa ndevu lakini hizi ni step nne rahisi za kufuata kuondokana na matatizo…
Sishkikii Na Safari Yake Katika Skin Lightening
Fashionista Sishkikii ame-reveal kuwa anaanza safari ya kung’aza ( lightening) ngozi yake, well tulishawahi kuongelea kuhusu utofauti kati ya skin lightening na skin brightening. Ila kwa kifupi tu Tunapoongelea Lightening ( Kung’aza) Tunaongelea kung’aza ngozi kuwa katika hali ya kawaida, hii ni kama pale unapopata…
Pata Kujua Kwa Upana Kuhusu Kungumanga Na urembo Wa Macho Kwa Wanawake
Je! wajua upana wa kungumanga na urembo wa macho kwa wanawake? (Kulegea),Ni wazi macho ni moja kati ya kivutio kamili katika nogesho la urembo wa mtu. Na kamamacho hayana ushirikiano ni wazi urembo wako/wake unapotea. (Uhalisia) Kwa mujibu wa wajuzi wanatujuza yakuwa ‘Kungumanga’ ni mbegu…
Blonde Hair Style Inspiration From Tanasha Donna
Mwanamuziki Tanasha Donna kutoka Kenya amekuwa akitu-serve blonde hair styles back to back. Tanasha ali-debut blonde look yake ya kwanza April mwaka huu & she never went back, seems like what they say about blonde having more fun is true because she been having fun…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…