MATUNZO YA RASTA
Kusuka rasta ni kuzuri sana na kunapendezesha mno, lakini pia usipo zijali zina kata sana nywele hasa za mbele, fanya yafuatayo ili kulinda rasta zako na pia nywele, Siku moja kabla ya kusuka fanyia steaming nywele zako unaweza kufanya hizi hata ukiwa umesukia rasta na…
MITINDO YA NYWELE FUPI
Ikiwa wengi wameanza mwaka kwa nywele fupi inawezekana style hii ikaendelea mpaka katikati ya mwaka. Ukiwa na nywele fupi haimaanishi huwezi kuweka style au kuzipendezesha ki aina tofauti tofauti, Hizi ni style ambazo zinaweza kukusaidia wakati unaendelea kukuza nywele zako au hata zikiwa fupi sana…
DIY: PENDAZESHA KUCHA ZAKO
leo katika DIY tunakuonyesha namna rahisi ambavyo unaweza kupaka rangi kucha zako bila kwenda kwa wapakaji rangi kucha na kutoe hela. https://youtu.be/HHF8-KsIIIg
KUZA/JAZA NYUSI ZAKO KWA KUFANYA HAYA
Nyusi zina beba asilimia kubwa sana ya urembo wa sura yako, ina paswa ziwekwe vizuri ili kuupa uso na macho yako muonekano mzuri, kama una nyusi chache fanya haya ili kukuza na kujaza nyusi zako. Nunua Vitamin E Mafuta ya Argan Mafuta ya mnyonyo changanya…
#TBT KUMBUKA VIPODOZI VYA ZAMANI
Leo katika #tbt yaani Throw Back Thursday au alhamisi ya tupanyuma tunakuletea vile vipodozi ambavyo watu wengi walikua wana vitumia haijalishi una hela au huna, enzi zile bado hatukuwa tunamjua mac wala iman. Zamani tulikua tunapaka Baby powder usoni yani hapo hakuna cha Mac powder…
LADY JAYDEE,MADAM RITA,FAIZA NA CAROLYNE NDANI YA KIDUKU RASTA
Mwanzo wa mwaka na wengi tunapenda kuanza mwaka kwa style mbali mbali za mavazi, nywele au tabia wiki iliyo pita tuliwaona watu kama Linnah, Zamaradi, Lulu na Jacqueline Ntuyabaliwe walivyo kata nywele wiki hii wapo Faiza Ally, Madam Rita wa Bongo Star Search,Lady JayDee na…
TIBA YA KUKUZA NYWELE
VITUNGUU MAJI Unaweza kushangaa kwamba kitunguu maji kinawezaje kukuza nywele, lakini katika hiki kitunguu kuna sulfur nyingi ambazo zinasaidia kukuza collagen ambayo inafaida kwa nywele. Tengeneza Juisi ya vitunguu kisha paka kwenye shina za nywele kaa nayo kwa muda na kisha uoshe, unaweza pia ukachanganya…
CRUSHING MAKEUP YA VJ PENNY
Leo katika beauty crush yupo vj penny make up artist wake amempatia sana katika hii, kila kitu kipo on point kuanzaia nyusi, kope, lipstick na eye liner. Jinsi ambavyo lipstick imekaa kwenye midomo bila kusambaa nje na nyusi na eye liner zilivyo ishia kwa…
NINI ULE KUIPA NGOZI AFYA
Wote tunapenda kuonekana warembo na vijana. Lakini inawezekana ukawa unajiharibu zaidi katika kujifanya uwe mrembo leo na kujiletea madhara makubwa yasiyotibika kesho. Pia, inawezekana unatumia hela nyingi na muda mwingi katika kuhakikisha ngozi yako inakuwa nyororo, nzuri, na ya kuvutia. Je, unafahamu kuwa kuna aina…
UREMBO WA KUUPOTEZEA 2016
2016 Unahitaji kubadilika kuna urembo mwingine umesha pitwa na wakati ni wa kuuacha tu 2015 Faux Piercings/ kidani cha pua mara ya kwanza zilivyo ingia kila mtu alikua ana zitamani hasa baada ya watu kama Rihanna kuvivaa lakini sasa zilivyo sambaa zikawa nyingi mno mpaka…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…