SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Urembo

MAKE-UP INA AINISHA UZURI WA MWANAMKE 

Ime kuwa mara nyingi wanaume wame sikika wakisema “una jifanya mzuri wakati ni make-up zimekusaidia” Hii ime sababisha maswali vichwani mwetu Je ni kweli make-up ina fanya wanawake wawe wazuri? Haikua rahisi kupata jawabu kwa sababu fikra zilikua zina gongana kuna wanawake wakipaka make-up wana…

Urembo

JINSI YA KU SHAPE NYUSI BILA KUNYOA 

Ime zoeleka ukitaka kuwa na nyusi maridadi ni lazima uzichonge kwa wembe au nyuzi lakini si wengi ambao wana penda njia hizi, hasa kwa sasa ambapo watu wana penda kuwa naturally. Lakini naturally hii nayo isivuke mpaka huwezi kukaa na nyuzi hovyo hovyo kisa unapenda…

Urembo

WANAWAKE WA KISASA NA MAKE UP 

Make Up ni urembo unakuja kwa kasi sana duniani, kila mtu ana taka kujua kupaka make up, wengine wana taka kujua kwa ajili ya matumizi ya binafsi na wengine wana taka kwa ajili ya biashara. Ni kawaida kwa kila mwanamke kutaka kuonekana mrembo kuliko mwingine…

Mitindo

WEMA AZINDUA KISS LIPSTICK 

Jana katika Birthday Party yake, Wema Sepetu alizindua Lipstic alizo lipa jina KISS, Lipstick hizi ni bidhaa zake mwenyewe Wema. huwa ina semwa tafuta katika miaka ya 20-30 ili ule matunda katika miaka yako ya 40, hiki ndicho anacho kifanya wema sasa. Katika Kurasa ya…

Mitindo

DRAKE APATA LIPSTICK KUTOKA TOM FORD 

Neno haki sawa linaanza kutumia kwanini wanawake wawe na vipodozi na wanaume wasiwe navyo? kwa kuona hilo Tomford wametoa Beauty Collection kwa ajili ya wanaume na safari hii wametoa Lipstic iitwayo Drake. Je wanawake mnampenda Drake mtaruhusu wanaume zenu wapake lipstick hio? na wanaume je…

Skin Care

NDIZI NA MCHANGO WAKE KATIKA UREMBO 

TOFAUTI na matunda mengine, ndizi zinafaida kubwa sana katika mwili wa binadamu. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, ndizi zina virutubisho vya aina mbalimbali kama vile, protini, mafuta, kalishiamu, wanga, fosiforas, madini ya chuma, vitamin A,B,C na maji. Ndizi zina faida zipi katika urembo? Chanzo…

Afya

MATIBABU YA USO KWA KUTUMIA VITU VYA JIKONI 

Matibabu ya uso kwa kutumia vitu vya jikoni kama kiini cha yai,machicha ya nazi,tango na limao.Treatment hii inaweza kufanyika Mara moja kwa wiki au kila baada ya wiki mbili, unaweza kufanya hata mara moja kwa mwezi ukipata nafasi kama unakuwa busy sana lkn matokeo mazuri…