MAKE-UP INA AINISHA UZURI WA MWANAMKE
Ime kuwa mara nyingi wanaume wame sikika wakisema “una jifanya mzuri wakati ni make-up zimekusaidia” Hii ime sababisha maswali vichwani mwetu Je ni kweli make-up ina fanya wanawake wawe wazuri? Haikua rahisi kupata jawabu kwa sababu fikra zilikua zina gongana kuna wanawake wakipaka make-up wana…
JINSI YA KU SHAPE NYUSI BILA KUNYOA
Ime zoeleka ukitaka kuwa na nyusi maridadi ni lazima uzichonge kwa wembe au nyuzi lakini si wengi ambao wana penda njia hizi, hasa kwa sasa ambapo watu wana penda kuwa naturally. Lakini naturally hii nayo isivuke mpaka huwezi kukaa na nyuzi hovyo hovyo kisa unapenda…
VITU 4 MUHIMU KATIKA MKOBA WAKO MSIMU HUU WA MVUA
1) MFUKO WA RAMBO Muhimu kubeba mfuko wa rambo msimu wa mvua husaidia kukinga nywele zisilowane, inawezekana ikaonekana kiswahili mno lakini mfuko huu unasaidia sana hasa kama mvua imezanza ghafla na haukubeba mwamvuli “wanawake hujali nywele kuto kuloa kuliko mavazi yao” 2) KOTI LA MVUA…
JIFUNZE UMBO LA KOLA NA MKUFU WA KUVALIA
Urembo ni kama kachumbari katika mavazi, mkufu unavo uvaa una upa muonekano wako wa juu kuonekana mzuri zaidi hata kama mavazi yako si mazuri sana lakini ukiuvaa vibaya una haribu muonekano mzima hata kama nguo yako ni nzuri. hizi ni baadhi ya namna chache ambazo…
WANAWAKE WA KISASA NA MAKE UP
Make Up ni urembo unakuja kwa kasi sana duniani, kila mtu ana taka kujua kupaka make up, wengine wana taka kujua kwa ajili ya matumizi ya binafsi na wengine wana taka kwa ajili ya biashara. Ni kawaida kwa kila mwanamke kutaka kuonekana mrembo kuliko mwingine…
WEMA AZINDUA KISS LIPSTICK
Jana katika Birthday Party yake, Wema Sepetu alizindua Lipstic alizo lipa jina KISS, Lipstick hizi ni bidhaa zake mwenyewe Wema. huwa ina semwa tafuta katika miaka ya 20-30 ili ule matunda katika miaka yako ya 40, hiki ndicho anacho kifanya wema sasa. Katika Kurasa ya…
FAIDA NA MADHARA YA WAIST TRAINING (CORSET)
Wanawake wengi sasa hivi wanataka kuwa na muonekano mzuri na wenye mvuto na wengi hawapendi vitambi, ni jambo zuri kwa mwanamke kujiweka smart lakini ina tegemea na u smart huo unautafutaje. Kuna njia nyingine zina kupa matokeo ya haraka lakini zina madhara makubwa na kuna…
DRAKE APATA LIPSTICK KUTOKA TOM FORD
Neno haki sawa linaanza kutumia kwanini wanawake wawe na vipodozi na wanaume wasiwe navyo? kwa kuona hilo Tomford wametoa Beauty Collection kwa ajili ya wanaume na safari hii wametoa Lipstic iitwayo Drake. Je wanawake mnampenda Drake mtaruhusu wanaume zenu wapake lipstick hio? na wanaume je…
NDIZI NA MCHANGO WAKE KATIKA UREMBO
TOFAUTI na matunda mengine, ndizi zinafaida kubwa sana katika mwili wa binadamu. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, ndizi zina virutubisho vya aina mbalimbali kama vile, protini, mafuta, kalishiamu, wanga, fosiforas, madini ya chuma, vitamin A,B,C na maji. Ndizi zina faida zipi katika urembo? Chanzo…
MATIBABU YA USO KWA KUTUMIA VITU VYA JIKONI
Matibabu ya uso kwa kutumia vitu vya jikoni kama kiini cha yai,machicha ya nazi,tango na limao.Treatment hii inaweza kufanyika Mara moja kwa wiki au kila baada ya wiki mbili, unaweza kufanya hata mara moja kwa mwezi ukipata nafasi kama unakuwa busy sana lkn matokeo mazuri…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…