Fahamu Zaidi Kuhusu Shea Butter Na Faida Zake
Shea Butter ni mafuta ambayo hutolewa kwa matunda ya mti wa shea. Miti ya shea ni asili ya Afrika Magharibi, na siagi nyingi za s zinatoka katika eneo hilo. Siagi ya sheya imekuwa ikitumika kama kiungo katika cosmetics kwa karne nyingi. Mkusanyiko wake mkubwa wa…
Mambo Matano Usiyoyajua Kuhusu Mafuta Ya Nazi
Mafuta ya nazi ni mazuri kama yatatumika ipasavyo.yana uwezo wa kukufanya uonekane mrembo mwenye ngozi ya kuvutia. MATUMIZI MENGINE YA MAFUTA YA NAZI Miongoni mwa faida tano za kutumia mafuta ya nazi asilia ni kama ifuatavyo. Kulainisha ngozi Kuondoa magaga kwenye nyayo za miguu kuzuia…
Faida 9 Za Sabuni Ya Ukwaju
Wengi wetu huwa tunatumia Tunda za ukwaju kwa matumizi ya kula, wengine tunapenda kutengenezea juice, wengine ice cream, kuweka katika chakula kama kinogesho nakadhalika. Lakini tunda hili pia hutumika kutengeneza bidhaa za urembo kama sabuni ambazo wengi wetu tumeonekana kuvutiwa nazo, lakini Je tunda hili…
Beauty Crush Elizabeth Michael
Tulianza kwa kumjua kama Lulu lakini sasa hivi anaitwa mama G, time flyies right? Well ukiachana kuwa muigizaji mzuri Lulu ni mpenzi wa fashion na urembo na kwasasa toka ametoka kujifungua amekua akitu-serve beauty looks back to back. Lulu anapenda kufanya makeup yake iwe simple…
Jacqueline Mengi Ni Mfano Mzuri Wa Kwanini Uwekeze Katika Nywele Bora
Tunapo sema kuwekeza katika nywele bora hapa hatumaanishi Natural Hair au Relaxed hair, hapa tunamaanisha weaving na wig’s. Wengi tunapenda kuwa na weaving na wig’s kiukweli ni life saver hasa kwa sisi ambao tuna nywele zinachokua muda kukua au hata pale unapo hitaji kutoka na…
Fahamu Zaidi Kuhusu African Black Soap
Je, umewahi kusikia kuhusu blacksoap? Naongelea African blacksoap,African Black Black ni sabuni iliyotengenezwa na majivu ya mimea kama vile mboga za kakao, majani ya mitende na mti wa shea. Sabuni hii hutengenezwa Afrika Magharibi, kawaida Ghana. Sabuni hii hutakasa ngozi vizuri sana hivyo ni nzuri…
Namna Ya Kutumia Bia (Beer) Kupata Nywele Laini Na Zenye Afya
Seems like bia sio tu katika afya lakini pia inafaida katika urembo katika nywele na ngozi, wakati wengine wakipenda kuinywa ili kujifurahisha na marafiki zao na wengine husema zinapoteza mawazo, sisi wengine tunatumia kilevi hiki katika kupata laini na zenye afya. Ndizi Inavyo Weza Kukusaidia…
Namna 3 Za Kutumia Aloe Vera Kuondoa Madoa Katika Ngozi
Weekends ni muda mzuri wa kujijali mwenyewe, kwenda salon kuosha na kusafisha nywele, kujali kucha zako, kupumzika lakini pia ni muda mzuri wa kujali ngozi yako. Week nzima una amka asubuhi na kwenda kazini unatembea juani na kukosa muda wa kujijali ila inapofikia weekend basi…
Njia Za Kuondoa Magaga
Magaga hutokana na ukavu wa ngozi, japo hayaumi na hayana madhara makubwa lakini ukiwa na magaga unapata tabu sana kuvaa viatu vya wazi kwa sababu ya aibu, hizi ni njia tatu za kuweza kuondoa magaga SCRUB kabla ya kwenda kulala scrub miguu yako kwa kufanya…
Celebrities Hair Cut Inspiration
Katika kitu ambacho huwa kina-stress ni nywele, wakati mwingine unataka tu uwe na simple hair style ambayo haitokufanya uwe unahangaika nazo mara kwa mara. Na ndio maana kuna wakati unakuta baadhi ya watu maarufu mbalimbali wanaamua kukata nywele zao. Well leo tuna watu maarufu wanne…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…