Exaggerated Baby Hair Style Trend
Baby hair ni zile nywele fupi, laini zilizopo karibu na edges za nywele zako, zinaweza kuwa ndefu, fupi na wakati mwingine curly inategemea na aina na texture ya nywele zako, mara nyingi hizi huonekana sana wakati tukiwa watoto ( ndio maana zikaitwa baby hair) lakini…
Style Ya Rasta Inayo Trend Kwasasa
Kama kuna urembo ambao hauchoshi na kilakukicha wasusi wanabuni styles mpya basi ni rasta, kila mara tumekuwa tukiona zinakuja styles mbalimbali ambazo ni nzuri hasa na za kupendeza. Kwa sasa style ambayo inatrend ni curly loc braids. Tumewaona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamesukia mtindo huu…
Spotted Beauty Looks From Last Week
Iwe walikuwa kazini, kwenye mitoko na wapendwa wao au wamejipaka tu kwaajili yao wenyewe kwaajili ya nafsi zao, watu hawa maarufu walionekana kwenye mionekano ya kuvutia na makeup zao. Tumependa tulichokiona na efforts wanazotumia makeup artist kuwafanya waonekane warembo bila kupoteza ule urembo asilia wao….
Nancy E Isime Flaunting Her Dollar Nails
Dollar On Her Nails, Dollar On Her Nails In Riri’s Voice, TV host Nancy E Isime ambae ametimiza miaka 30 hivi karibuni ametudhihilishia kwamba yeye ni that rich auntie kwa kutumia $20 kama urembo kwenye kucha zake, $20 ni sawa na tsh 46,280. Nancy si…
Fahamu Zaidi Kuhusu V Steam
V Steam imekua kwenye midomo ya watu hasa wanawake kwa muda sasa, Ikiwa inasemekana ni njia nzuri ya kusafisha sehemu za siri za kike. Tumepata fursa ya kufanya mahojiano na gyverbeautyandspa ambae ametuelezea kwa uzuri kuhusu V steam AFS: Steaming Ni Nini?Gyver: V steam ni…
Facial Mask Ya Manjano, Asali, Ndimu Na Mtindi
Shekha Manjano ni mmiliki wa kampuni ya vipodozi vya manjano na juzi aliweka beauty tip ya namna ambavyo una weza kutumia manjano,mtindi,ndimu na asali kuondoa chunusi.. na hivi ndivyo alivyo andika katika kutoa somo hilo “Weekend yangu naimalizia kujipamper na homemade face mask. Kama unasaumbuliwa…
Hans Tone Rocking Black Nail Polish
Dhana za kusema kupaka rangi katika kucha ni Uanamke zimepita sasa hivi wanaume nao wanapaka rangikucha zao, by the way kupaka rangi kucha kumeanza miaka mingi tangu enzi za ma’babu zetu kwaio sio kitu kigeni bali tu hapa katikati swala hili liliachwa kwakua iliaminika urembo…
Self Care Checklist To Do This Weekend
Baada ya week nzima ya stress za kazini, kwenye biashara, heka heka za watoto mashuleni etc weekend ni wakati mzuri wa kujijali wewe pamoja na familia yako. Ikiwa wengi tunadhani selfcare ni kwa wenye pesa au kutoka kwenda sehemu ambazo utafanyiwa huduma fulani lakini kumbe…
Big Pendant Necklace’s Are The New Choker’s
Wenzetu huwa wanasema “Go Big Or Go Home”, inaonekana wasanii wetu wanalitilia mkazo hili kwasasa linapokuja swala zima la mikufu na vidani vyake. Tumeona wasanii mbalimbali kutoka Africa wakiwa wanavalia mikufu yenye vidani vikubwa vyenye maandishi au picha mbalimbali inategemea na mapenzi yake. Kwetu Tanzania…
Je Unapaka Sunscreen Kabla Au Baada Ya Moisturizer?
Swala la kupaka sunscreen limekuwa swala kubwa sana kwasasa Nchini kwetu na hii inatokana na kwamba hiki ni kitu kipya kidogo kwetu. Wengi tunazo kwasasa na wafanyabiashara wa urembo wengi wamekuwa wakiziongelea na kuziuza. Tulishatoa tips mbalimbali kuhusu umuhimu wa kupaka sunscreen Umuhimu Wa Kupaka…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…