Trend iliyopo kwa sasa ni kuvaa deconstructed nguo, yaani nguo ambazo zime vurugwa muonekano wake tumeona trend hii kwa watu wengi ila Rihanna ameonekana nayo mara nyingi zaidi
ikiwemo ile ya kuvaa shirt mbele nyuma nyuma mbele leo tuna kuletea namna ya kufanya mwenyewe hizi nguo bila gharama
1)The Off-the-Shoulder Top
- fungua vifungo vya kwanza vinne vya juu
- slide shirt katika mabega
- poo the collar
Fungua Vifungo vitatu vya juu vya shirt
- Toa mikono kama unavua shirt
- Chukua mkono mmoja upeleke nyuma ya shirt
- chukua ule mkono ulio upeleka nyuma upitishe kwenye bega kuuleta mbele.
- Funga fundo kwa mbele kwa kutumia ule mkono ulio baki mbele na ulio upitisha begani kama unavyo ona kwenye picha.
3)The Strapless Shirt
- Fungua vifungo vitano vya juu ya shirt
- Toa mikono kabisa
- Funga mikono fundo kwa mbele kama uonavyo hapo juu
4)Skirt With a Button-Up Slit
- Fungua Vitatu adi vinne vya juu
- shusha shirt mpaka kiunoni ikae kama skirt
- zungusha shirt mpaka visikizo vikae upande wa paja .
- Fungua vifungo vichache vya chini ili kupata mpasuo.
- Mwisho funga mikono ya shirt katika ule upande ulio geuzia shirt na kuweka mpasuo.
Kama utajaribu trend hii usisite kututag kupitia kurasa zetu katika mitandao ya kijamii
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…