Jeans zilizo chanwa chanwa (ripped jeans) zina pendwa sana lakini tatizo ni moja tu jeans hizi pale zilipo chanika zina endelea kuchanika eidha ukifua au ukiwa ume kaa uka kunja goti basi taflani, hizi ndivyo unavyo weza kuzia tatizo hilo,
GUNDI YA NGUO:
- Tumia gundi ya nguo kupaka kwenye kingo ya sehemu zilizo chanika, anza na ndani paka acha gundi ikauke kisha hamia nje lakini ni vizuri pia ukaweka kibao katikati ili kuzuia suruali hio kugandana. Pia chagua gundi nzuri nyingine zinaweza kukuharibia nguo.
KUSHONA:
Shona kwenye kingo za sehemu iliyo chanika hii itazuia jeans kuendelea kuchanika kwa muda.
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/diy/fanya-hivi-kuzuia-ripped-jeans-kuendelea-kuchanika/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/diy/fanya-hivi-kuzuia-ripped-jeans-kuendelea-kuchanika/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 65884 additional Information on that Topic: afroswagga.com/diy/fanya-hivi-kuzuia-ripped-jeans-kuendelea-kuchanika/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/diy/fanya-hivi-kuzuia-ripped-jeans-kuendelea-kuchanika/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/diy/fanya-hivi-kuzuia-ripped-jeans-kuendelea-kuchanika/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/diy/fanya-hivi-kuzuia-ripped-jeans-kuendelea-kuchanika/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/diy/fanya-hivi-kuzuia-ripped-jeans-kuendelea-kuchanika/ […]