Mkufu huu utakugharimu kiasi kidogo cha pesa lakini utakupa muonekano wa kisasa, pia una weza kuifanya mingi ukauza. lakini pia unaweza kuifanya ikawa mingi rangi tofauti tofauti ya kwako mwenyewe kwa ajili ya matumizi yako ukawa na muonekano wako wa kipekee
MAHITAJI:
– mkufu
– brush ya kupakia rangi na rangi (kama huna rangi hata rangi ya kucha inafaa)
– kipande cha ngozi 1.5″ x 1.5″
– tape(kipimio) na mkasi
– sindano
MAELEKEZO
1)chora mchoro wako uupendao katika kipande cha ngozi, kisha kata na mkasi kufuatisha huo mchoro hakikisha unakata katika mistari ya mchoro na usiache alama yoyote ya wino katika kipande cha Ngozi
2) katika kile kipande cha ngozi chora mchoro utakao kama ni ua au sura ya mtu
3) tumia gundi (cellotape) kuzibia sehemu za kipande chako cha ngozi
4) anza kupaka rangi kile kipande ambacho hujakiziba na cellotape. Kuziba baadhi ya sehemu na cellotape ina saidia kuzuia rangi kuingiliana na pia kupata mistari minyoofu ya mchoro wako.
5)acha rangi ikauke, Ikisha kauka ziba panye rangi na sehemu nyingine acha sehemu moja na upake yangi
6) rudia sehemu zote mpaka uhakikishe ua limeisha na umeridhika na muonekano wa rangi zako, Halafu toboa kitobo kidogo juu ya kingozi chako na upitishe cheni yako
7)muonekano wa cheni yako
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/diy/mkufu-wa-kigozi/ […]