Kuna wale wenzetu ambao wana jichubua hizi sehemu huwa ngumu (viungio vya mkono, vidole na magoti) kung’aa kwa haraka, lakini pia hata kwa wale wenye ngozi zao za asili huwa hizi sehemu zinakua nyeusi si sawa na sehemu nyingine za mwili, namna ya kung’arisha sehemu hizi bila kutumia cream za madukani,
JUISI YA LIMAO NA ASALI: changanya juisi ya limao na asali kisha paka kwenye sehemu zilizo athirika fanya hivi kila siku ndani ya wiki na utapata matokeo.
JUISI YA LIMAO, GLYCERINE NA SUKARI: changanya juisi ya limao, mafuta ya maji ya glycerine na sukari kisha paka kwenye sehemu zilizo athirika na kaa nao kwa muda wa dk 15-20 kisha uoshe kwa maji masafi.
VITAMINI E NA CREAM YA MAZIWA: changanya mchanganyiko huo na kisha upake kwenye sehemu zilizo athirika sugua kwa muda wa dakika 10, fanya hivi kila siku kupata matokeo mazuri.
JIWE LA KUJISUGULIA: chukua maji masafi changanya na shampoo kisha sugua na hilo jiwe katika sehemu iliyo kuwa nyeusi kisha osha na maji masafi
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/diy/ngarisha-viungio-vya-mikono-magoti-na-miguu-naturally/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 83397 more Information to that Topic: afroswagga.com/diy/ngarisha-viungio-vya-mikono-magoti-na-miguu-naturally/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/diy/ngarisha-viungio-vya-mikono-magoti-na-miguu-naturally/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 54655 additional Information on that Topic: afroswagga.com/diy/ngarisha-viungio-vya-mikono-magoti-na-miguu-naturally/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/diy/ngarisha-viungio-vya-mikono-magoti-na-miguu-naturally/ […]