Kama kuna vitu ambavyo hatufundishwi hasa sisi wa-Africa ni kuhusu kujiamini na body language, kwetu tembea utakavyo, kaa upendavyo ni wewe na maisha yako lakini kumbe kuna namna ambavyo tunatakiwa kufanya vitu hivi tunapoenda mbele ya watu wanaojua hivi vitu wana tutafsiri vibaya kama hatuna heshima au hatujiamini kumbe ni vile tu hatujui kwamba hiki kitu kinamaanisha nini kwa wengine.
Je posture gani ambazo unatakiwa ku fix ili uonekane una jiamini?
- Kukaa Huku Umepinda Mgongo

Nna uhakika asilimia 90 ya tunaosoma hapa tumekaa huku tumepinda mgongo, hivi ndivyo mazoea yetu lakini kumbe unatakiwa ukae ukiwa umenyooka na kurelax kama umeshawahi kusikia watu wakisema huyu anakaa kama miss, basi ule mkao si wa mamiss tu bali mtu yoyote ana paswa kukaa vile.
- Kuinama mbele unapotembea

Hii pia ni moja ya tabia ambayo wengi tunayo unatembea huku umeinama mbele au umeinamisha uso chini, badala yake tembea ukiwa umenyooka, mabega yarudi nyuma kidogo na usiinamishe sura chini, umeshawahi kusikia watu wakisema anatembea kwa kujiamini? anatembea kama ana imiliki Dunia? basi huu ndio muondoko unaotakiwa na mara nyingi tunaona zaidi kwa mamiss au watu maarufu.
- Kusimama Ukiwa Umepinda Mgongo

Jifunze kusimama straight bila kupinda huku mabega yako yakiwa nyuma namna hii utapata muonekano wa kujiamini zaidi, angalia picha kujua tunaongelea nini.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…