Week iliyopita tuliongelea kuhusu Bad Posture To Fix For Confident Body Language, tulipokea maswali mengi na moja wapo lilikuwa mtu anaanzaje kuwa na straight posture, kiukweli kama hujazoea si rahisi na lazima utajisahau na kukakaa au kutembea ukiwa umeinama au kujikunja.
Leo tunakulete tips 3 za namna unaweza kupata straight posture
- Boresha Namna Unavyokaa
Kama umezoea kuinama au kujikunja wakati umekaa jitahidi sana ukikaa uwe straight, mgongo uwe straight na rudisha mabega nyuma, hii pia inasaidia katika mmeng’enyo wa chakula pamoja na kuondoa tensio kwenye maeneo ya shingo na mabega, lakini pia maumivu ya mgongo utaepukana nayo.
- Rekebisha Makosa Haya
Mgongo kupinda, round shoulders pamoja na kuinamisha kichwa mbele ni mkao mbaya, unatakiwa kuwa straight shindo iwe straight foward mfano unapo angalia simu iweke usawa wa uso badala ya kuiweka chini wakati unaitumia.
- Jichunguze Na Rekebisha Makosa Yako
Chukua muda kujiangalia kwenye kioo, angalia namna unatembea, angalia vile unavyo kaa, angalia namna unasimama na rekebisha yale makosa unayoyaona yanatokea, pia unaweza kuji record kwenye simu
NB:Endelea kufanya mazoezi usichoke, mara nyingi unavyofanya ndivyo ambavyo unakaribia kuwa na mkao mzuri as wazungu husema “practise makes it perfect”
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…