Body goals. Body goals. Well kila unaposcroll mtandaoni waweza ona kila mmoja akiwa fit, working out na waishia kucomment tu. Waweza kuwa wahitaji kuwa in shape but hujui uanzie wapi maana kila kukicha upo pale pale.
Hizi ni tips chache ambazo zaweza kukusaidia katika kuwa in shape.
- Anza kwa kumonitor ulaji wako ambapo waweza anza kwa kupunguza na kisha kuacha kabisa ulaji wa vitu visivyoshauriwa kiafya kama soda, pombe, fast foods, sukari na kadhalika. Waweza replace hivi na unywaji wa maji, matunda na mbogamboga juice pia kutumia asali kama mbadala wa sukari kuna application za simu ambazo zinaweza kukusaidia katika ku-monitor ulaji wako kama, 21 DAY FIX TRACKER, KETO DIET MEAL PLAN & MY MACROS +
- Pangilia ratiba maalumu ya kufanya mazoezi kila siku uamkapo na jioni urudipo toka kazini. Waweza kuwa huna uwezo wa kuhudhuria gyms so waweza download apps za mazoezi mtandaoni ama videso toka Youtube zikakuongoza. Pia kama una mtu waweza train naye kila siku itakupa motisha zaidi.Kama waweza kwenda gym then onana na trainer aweze kukupa mwongozo wa mazoezi na kiafya. Pia hata kama huwezi kwenda gym, waweza wasiliana na online trainers wakakupa mwongozo katika hili.
- Pia kuwa mtu wa malengo maana waweza anza mazoezi bila malengo na kuishia kuwa pale pale. Hakikisha unaweka malengo na uyatimiza na hata kuyavuka.
Tambua haitakuwa safari rahisi hata mbuyu ulianza kama mchicha hivyo pia ukiwa na nia dhabiti utayafikia malengo hayo.
Imeandikwa na @willibard_Jr
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/baby-steps-katika-kupungua-uzito-nakuwa-in-shape/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/dondoo/baby-steps-katika-kupungua-uzito-nakuwa-in-shape/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 87096 additional Information on that Topic: afroswagga.com/dondoo/baby-steps-katika-kupungua-uzito-nakuwa-in-shape/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 90985 more Information on that Topic: afroswagga.com/dondoo/baby-steps-katika-kupungua-uzito-nakuwa-in-shape/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 61688 more Information on that Topic: afroswagga.com/dondoo/baby-steps-katika-kupungua-uzito-nakuwa-in-shape/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/baby-steps-katika-kupungua-uzito-nakuwa-in-shape/ […]