Katika harakati za kupunguza uzito huwa tuna kumbana na vitu au ushauri mbalimbali vingine ni vichungu vinakufanya uamue kuachana na safari yako lakini kumbe kuna vinywaji vitamu tu lakini pia vinaweza kukuaidi kupungua uzito,
Green tea – Green tea ina sifika sana katika kupunguza uzito, tumesha kutana nayo sana hata mitandaoni zikitangazwa na watumiaji kusifia kwamba zina fanya kazi na wanapata matokeo mazuri, unacho takiwa kufanya ni kunywa green tea yako mara mbili au tatu kwa siku. Pia green tea haisifiki tu kwa ku burn mafuta lakini pia ina virutubisho vya kukusaidia katika mwili.
Maji – ndio maji ni msaada tosha katika kupunguza mafuta na uzito mwili, kizuri kuhusu maji unayapata popote hata nyumbani una shauriwa kunywa lita mbili kwa siku lakini pia kama una weza kunywa zaidi ya lita mbili go ahead na kunywa maji uwezavyo, si tu yana saidia kupunguza mafuta mwilini lakini pia kukupa ngozi nyororo
Limao, Maji na Tango – Limao na Tango vinasifika kuwa na madini ya kukata mafuta na maji pia ni mazuri katika swala hilo, una weza kunywa asubuhi kabla ya kula na usiku wakati wa kulala well una weza kukifanya kikawa kinywaji chako cha siku nzima kama maji lakini una ongeza tango na limao. Delish
Nanasi na Mint spritzer – nanasi linasifika kuwa na bromelain, an enzyme ambayo husadia kusafisha the colon in natural way
Hakuna Kisingizio Cha Uchungu wala gharaama ni wewe tu nakua willingness ya kutoka kuondoa mafuta mwilini lakini pia si tu unywe hivi vinywaji basi lakini pia ina hitajika diet nzuri na mazoezi. Kama utafanya na kupata matokeo usisite kutupa feedback kupitia social networks zetu na email.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…