Kama wajikuta unyunyu wako Ukifika muda wa chakula cha mchana “lunch” imeisha au ukiweka unyunyu ghafla imeisha dondoo hizi zinaweza kukusaidia. Kama mtaalamu wa Urembo mmoja anavyosema, Joanne Dodds ” Tunapenda kunukia vizuri siku nzima, Wakati mwengine unyunyu wako unapotea pale tu unapomaliza kuweka ” Ni vile Unatakiwa kujua uweke sehemu gani na uwekeje na uihifadhi vipi. Ukijua Utaweza kutumia vizuri unyunyu wako bila ya kuoga “perfume”. Soma yafuatayo kujua mabadiliko utakayoyapata
Paka mafuta ya Vaseline
Sehemu Kama Shingo, ndani ya viwiko, nyuma ya magoti, kwenye viganja vya mikono. Mafuta haya yataweza kuhifadhi perfume yako kwa muda mrefu.

Spray brush yako ya nywele.
Alcohol iliyokuwepo kwenye perfume inaweza kukausha nywele zako, Usiweke moja kwa moja ” directly” Badala yake spray brush yako ya nywele kidogo tu ama Ununue “hair perfumes ” ambayo imetengenezwa maalum kwa ajili ya nywele. Nywele husaidia kuhifadhi harufu ya unyunyu wako.
3 Usihifadhi Bafuni. Unyevunyevu unaopatikana Bafuni utaharibu perfume yako na kupunguza ubora wake pamoja na Jinsi inayonukia, hifadhi Chumbani kwako.

Moisturize ngozi yako.
ukiweka moisturizer kwenye mwili utakuwa na unyevunyevu na hivyo perfume yako itatunzwa muda mrefu.
5. Vaa perfume yako Wakati sahihi. ngozi yenye unyevunyevu inahifadhi perfume Ila ukivaa nguo zako muda mchache baada ya kuweka perfume yako itafutika. subiri dakika chache ikauke.

Usisugue viganja vyako
msuguano utaondoa perfume yako haraka. Don’t Rub Wrists Together, Friction will cause the top notes of the perfume to fade faster and your perfume won’t last as long.

Unapotaka kuspray perfume yako spray kwenye hewa,
spray kwenye hewa Kisha pita kwenye hewa hiyo Kwa kufanya hivyo perfume yako itadumu kwa muda mrefu. Badala ya kujipulizia kwenye nguo jipulizie mwilini na uone tofauti.
Hapa pia Unatakiwa uzingatie kutumia perfume yenye hali nzuri ki afya. Kwa sababu inachukua Sekunde 26 tu kipodozi chochote kuingia kwenye mzunguko wako wa Damu. Hakikisha watumia vipodozi salama.
Jua Aina tofauti tofauti za perfume.
perfume zenye label ” eau de cologne, eau de toilette” zina kiasi kidogo cha mafuta na harufu kali kiasi. Zilizolebiwa ” eau de parfum, extract de parfum” ni kali zaidi na zinadumu Kwa muda mrefu.
Usitikise perfume yako
perfume imetengenezwa kutulia ukitikisa utaingiza hewa ndani na kupunguza ubora wake.
Hifadhi Boksi Za perfume
Hifadhi perfume mbali na jua utaharibu perfume yako. Kuhifadhi kwenye boksi utatunza ubora wake
Dondoo hizo zikusaidie kuvaa perfume yako kwa muda mrefu.
Shea na uwapendao
©binturembo
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/dondoo/dondoo-za-kufanya-unyunyu-perfume-wako-udumu-kwa-muda-mrefu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/dondoo-za-kufanya-unyunyu-perfume-wako-udumu-kwa-muda-mrefu/ […]