Tunapenda viatu vyetu ila kuna visababu vidogo vidogo ambavyo vinaweza vikasababisha usivae viatu vyako au ukavaa huku vinakuumiza kwa sababu ya mapenzi tu uliyo nayo juu yake. Hizi ni Hacks ambazo zinaweza kukusaidia kujilinda na maumivu au hata kulinda viatu vyako.
- Viatu vipya vya kuingiza viwe virefu au vifupi huumiza sana huku nyuma juu ya kisigino, Tumia clear deodorant kupaka nyuma ya kiatu ili kuweza kuzuia miwasho au maumivu hayo
- Viatu vya kutumbukiza vina mtindo wa kuumiza vidole vya mbele tumia sellotape kuvibana kidole cha tatu na cha nne vya miguu kupunguza maumivu hayo, hii hutokana na mguu kuwa mpana kuliko viatu ukivibana unasababisha upana wa vidole kupungua na kuacha nafasi kwa kidole cha mwisho kuenea.
- Kuna viatu huwa vina teleza kwenye soli ili kukusave usianguke au kutereza sehemu na kutia aibu jaribu kusugua soli kwa msasa ili kutoa ile soli ya juu inayo teleza
- Kama viatu vyako virefu vimeisha katika kisigino chake nunua Kofia za viatu ina saidia kuleta upya katika kiatu chako
- Viatu vikikubana vika kuumiza na kusababisha malenge lenge ambayo huwa yanaleta maumivu makali na wengi huwa hatujui tiba yake, Tiba ni Kuweka chai ya kijani (green tea) kwenye maji ya uvugu vugu kisha ukatumbukiza miguu utashangazwa na jinsi inavyo fanya kazi (miujiza)
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 10599 additional Information to that Topic: afroswagga.com/dondoo/fanya-haya-kulinda-viatu-vyako/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/dondoo/fanya-haya-kulinda-viatu-vyako/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 37583 additional Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/fanya-haya-kulinda-viatu-vyako/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/fanya-haya-kulinda-viatu-vyako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/fanya-haya-kulinda-viatu-vyako/ […]