Kwa sasa ime kuwa kama Fashion watu maarufu kupungua uzito baada ya kujifungua. Ni kitu ambacho kila mwanamke Duniani ange penda afanye maana baada ya kujifungua zile supu supu na mtori huwa zina nenepesha mno na hata kabla ya kujifungua zile hamu hamu za kula zina ongeza kilo, Lakini tume ona watu kama Beyonce, Kim Kardashian, Kelly Rowland na wengine wengi waki jifungua na kurudi kwenye formation kama zamani huwa tuna baki kujiuliza wame fanyaje? ina wezekanaje?
Ki ukweli mtu ambae tume muona at least akionyesha jinsi ambavyo ana punguza uzito wake ni Kim Kardashian alipo jifungua saint alikuwa ana onyesha series za matukio akiwa gym akijaribu kupungua na well akafanikiwa, lakini Black Chyna yeye ame toa uzito wake ndani ya one week karudi in shape hii ime tuweka kwenye maswali mmh HOW? Hatutaki kuamini kama ni Flat tummy tea anayo itumia au ndio kama Huddah alivyo sema wana fanyiwa operation na kuondolewa mafuta mara baada ya kujifungua? Kwetu tuna hitaji kusema kwa wale wenzetu na sie usi look upon Chyna au Beyonce au Kim Kardashian kwa sababu hatujui nyuma ya pazia kuna nini wana fanya, kama una taka kurudi katika shape baada ya kujifungua hizi ni
tips chache ambazo zina weza kukusaidia.
AMKA NA FANYA MAZOEZI
Wanawake wakisha jifungua wana kuwa wazito, uvivu na kujisikia kulala na kupumzika ni kawaida lakini jitaidi uwe una amka na kutembea angalau kwa dakika 20-30 mara 3 au 5 kwa week itasaidia kupunguza uzito wako
NYONYESHA
kunyonyesha kuna saidia kuondoa 600 to 800 calories kwa siku, kwaio mnyonyeshe mwanao kadri uwezavyo na jitaidi baada ya kumuachisha nyonyo utengeneze diet nzuri ili usijivuruge
KULA VYAKULA VYENYE AFYA
achana na manyama nyama yenye mafuta jaribu kula vyakula vyenye vitamins zote hii ina saidia pia kupunguza uzito baada ya kujifungua
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…