Kuna wale wenzetu na sie ambao wana makabati madogo na nguo ni nyingi basi utakuta nguo zipo kwenye ma rambo au ma dustbin na chumba kinakua kidogo kwa kujaza mavitu haya ndio unayo takiwa kufanya ili kulipa kabati lako nafasi na kuweza kutoshea vitu vyako.
1)Tupa/Gawa nguo ambazo huzitumii tena eidha ziwe zime pitwa na wakati, hazikutoshi kubwa/ndogo au unaipendaga tu for no reason lakini huitumii, hii itasaidia kuwa na zile chache ambazo zitafit katika kabati lako dogo
2)Ondoa mazaga zaga yote yasioyo na kazi katika kabati, kuna vitu kama hangers ambazo hazija tundikiwa nguo au ma box ambayo ndani yake hamna kitu/au yana vitu lakini ni vya zamani mno ondoa utupe au ugawe, ili upate nafasi ya kuweka vile vya muhimu kabatini mwako.
3) kumbuka kutumia sehemu ya juu ya kabati na ya chini, zipo ili zitumiwe na si kwa ajili ya mapambo, juu unaweza kuweka mikoba na chini ukaweka viatu.
4)Tumia Milango unaweza kutundika scarf,khanga au hata tai katika milango ya kabati.
5)Endelea na utamaduni wa kutupa kitu cha zamani kila mara unapo ingiza kingine kipya.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kulipa-kabati-lako-nafasi/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 56818 more Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kulipa-kabati-lako-nafasi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kulipa-kabati-lako-nafasi/ […]