Kuna watu wawili humu Duniani wanao weza kuvaa heels hata wakiwa wanaenda sokoni na wale ambao hawawezi kuvaa heels hata wakiwa wanaenda harusi, kiukweli binadamu hatufanani lakini haimaanishi kama huwezi kuvaa heels basi huwezi kupendeza. Unaweza kuvaa flats na bado ukapendeza kuliko mwenye heels japo heels pia zina weza kuubeba mtoko wako kwa namna moja au nyingine.
Hizi ni tips zinazo weza kukusaidia kama wewe si mpenzi wa heels
Beige Flats:hizi flats zipo very chic una weza kuvaa kazini, in business meeting au hata date
Ballet Flats : hizi zipo for ages kama una tafuta au una taka kuonekana polished, ballet flats ndio jibu lako, tafuta rangi nzuri kama nude, nyeusi au cream una weza kuvalia vyovyote casual, office wear etc.
Pointed Toe Print Flats – hizi ni zile zilizo chongoka kidogo mbele na zina prints mostly huwa ni Leopard Print Flats hizi ni must haves kwa kila mwanadada tuna weza kusema they can fit every where kasoro kwenye red carpet
kama haupo vizuri na heels don’t force it una weza kuvaa flats na ukapendeza tuliuliza hili swali Instagram na kwa bahati nzuri tulipata watu mbali mbali walio share tips na sisi unaweza kusoma hapo chini pia tembelea ukurasa wetu wa Instagram @afroswagga
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kuonekana-fabulous-bila-ya-kuvaa-heels/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 36931 additional Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kuonekana-fabulous-bila-ya-kuvaa-heels/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kuonekana-fabulous-bila-ya-kuvaa-heels/ […]