Tatizo hili huwapata wamama au wabab wengi wenye miili minene, japo hata wembamba pia huwapata lakini ni kumi kwa mmoja. Wengi hawapendi mabunye haya na hizi ni namna chache za jinsi ya kuziondoa/kupunguza cellulites
1)Unaweza kuzipunguza sana kwa mazoezi ya mapaja, miguu na makalio kama squats na legs workout.
2)Dry brushing pia inasaidia sana kuziondoa.
Unachukua brush kama hyo hapo kwenye picha na kubrush areas zilizo na cellulite ngozi ikiwa kavu.
Vile vile paka mafuta ya nazi , waweza kutumia mafuta ya nazi ndio ikawa kama vile lotion yako.
Kupata matokeo mazuri zaidi waweza kuyapasha mafuta moto kabla ya kuyamasage kwenye ngozi… vile vile mafuta ya nazi yaliyopashwa moto husaidia sana kupunguza streachmarks.
Baada ya mwezi, kwa kufanya kila siku utaona matokeo makubwa sana.
Ol the best kwa watakao jaribu.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…