Miguu au viatu kunuka hutokana na jasho katika miguu, hasa pale ambapo mvaaji wa viatu hivyo hurudia kuvaa viatu mara kwa mara bila ya kuvisafisha.
Viatu/Miguu kunuka ni aibu kwa pande zote mbili mwanamke na mwanaume, mara nyingi hali hii hutokea kwa vijana na wamama wajawazito kwa sababu ya mabadiliko ya homoni na kufanya damu ichemke mpaka miguu kutoa jasho.
jinsi ya kutibu miguu inayo nuka
- usivae kiatu pea moja kila siku jaribu kubadilisha viatu hili kuweza kuvipa muda vile vingine vikauke.
- Osha na kausha miguu yako kabla ya kuvaa viatu
- vaa socks safi kila siku (cotton sio nylon)
- kata kucha pamoja na kusugua miguu yako mara kwa mara
njia nyingine za kutibu harufu mbaya miguuni
- chemsha maji yawe ya uvugu vugu, kisha weka kwenye beseni na umimine kiasi cha chumvi, tumbikiza miguu yako na ukae kwa muda wa dakika 20 kisha toa kausha miguu. Fanya hivi mara mbili kila siku kwa muda wa wiki mbili.
- Chemsha maji na weka majani ya chai kiasi (kama ambavyo una chemsha chai), weka maji ya baridi kidogo ili kupooza umoto wa maji yenye majani ya chai, ingiza miguu yako iache ikae kwa muda wa dakika 30. Toa miguu ikaushe fanya hivi mara moja kila siku kwa muda wa wiki moja.
- vaa viatu vya ngozi au canvas, usivae vya nylon maana huleta joto na kusababisha miguu kutoa jasho
- vaa viatu vya wazi kipind cha joto na tumia muda mwingi peku ukiwa nyumbani
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kuzuia-unukaji-wa-miguu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kuzuia-unukaji-wa-miguu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kuzuia-unukaji-wa-miguu/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 85727 more Information on that Topic: afroswagga.com/dondoo/jinsi-ya-kuzuia-unukaji-wa-miguu/ […]