Ni kweli kuna faida nyingi za kununua mavazi online la kwanza ni ku save muda lakini pia kuna hasara nyingi mno endapo kuna baadhi ya vitu huto vijua,
1) Jua Size yako mara nyingi wauzaji wanapo post mavazi huwa wana taja na size za mavazi hayo, jua size ya mwili wako yaani kifua, kiuno, mabega nk hii ita kusaidia kupata nguo size yako na si kubwa wala ndogo.
2) Rangi ya picha ni tofauti na uhalisia usi danganywe na rangi ya picha jua kabisa itakua ime pigwa msasa, kwaio jua kitakacho kuja kitakua tofauti kidogo na ulicho kiona.
3) Muulize muuzaji material ya nguo kabla hujainunua, fanya research ya material za nguo kama ni cotton,canvas, lace nk hii itakusaidia kujua kama utaitaka hio nguo au lah
4) Kabla ya manunuzi uliza kama wana kanuni za kurudisha kama hujakipenda kitu hii itakusaidia pale ambapo utapewa kitu ambacho huja kipenda ukaweza kukirudisha bila kukwaruzana na muuzaji
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/jua-hivi-kabla-kununua-mavazi-online/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 27291 additional Info on that Topic: afroswagga.com/dondoo/jua-hivi-kabla-kununua-mavazi-online/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/dondoo/jua-hivi-kabla-kununua-mavazi-online/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/jua-hivi-kabla-kununua-mavazi-online/ […]