Lois Vuitton ni mbunifu aliye zaliwa France 4/8 1821, akiwa na umri wa miaka 10 mama yake alifariki. Alihamia paris akiwa na umri wa miaka 13 baada ya matatizo ya kifamilia yaliyo letwa na mama yake wa kambo,Luis alitoka france mpaka Paris kwa miguu. Alitembea 292-mile na alifika Paris mwaka 1837 akiwa na umri wa miaka 16 alikula na kulala popote ilimchukua miaka miwili kupata kazi yenye heshima ambapo alikuwa mtengenezaji na mpakiaji ma box, mwaka 1852 Loius Vuitton aliajiriwa na mke wa Napoleon ambae alikua akiitwa Eugenie de Montijo kama mtengenezaji na mpakiaji mabox wake binafsi.
Mwaka 1854 ulikua ni mwaka wa mabadiliko na kukua Louis alipata mchumba aitwae Clemence-Emilie Parriaux ambae alimuoa 22/4/ 1854. Louis aliacha kazi alipokwa ana fanya kazi mwanzo na kufungua duka lake la kutengeneza na kupakia ma box nje ya duka kulikua na bango lililo andikwa “Securely packs the most fragile objects.Specializing in packing fashions.”
Mwaka 1870,biashara yake iliharibika baada ya kutokea vita, vitu vyake viliibiwa na vingine kuharibika lakini Louis hakukata tamaa alianzisha tena biashara yake na safari hii aliiboresha zaidi ambapo alibuni ma box yenye ubora na design tofauti tofauti ya kuwekea nguo na hapo ndipo lebo ya Louis Vuitton ilipo zaliwa tena.
Louis alifariki miaka 20 mbele akiwa na miaka 70 lakini biashara yake haikufa aliirithi mwanae ambapo mpaka sasa wana tengeneza ma begi aina mbali mbali ya mikononi pia ya kusafiria pia mikanda, vitau na nguo mpaka sasa Lv ni brand kubwa na inayo heshimika duniani.
“NDOTO HUWA KWELI PALE TU UNAPO AMUA KUIFANYIA KAZI, USIKATE TAMAA”
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/motisha-safari-ya-louis-vuitton/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/motisha-safari-ya-louis-vuitton/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/motisha-safari-ya-louis-vuitton/ […]