Wanawake wengi hupata shida pale wanapo taka kupangilia mikoba yao, kwa kutokujua kipi wakiweke wapi na wapi pakae nini. Mara nyingi hupoteza vitu kama pini,chupio kwa kuviweka vibaya na kuna wakati hadi una hisi aibu kufungua mkoba wako mbele za watu kwa sababu tu ya mpangilio mbaya uliopo ndani ya mkoba, hizi ni dondoo chache ya vipi unaweza kuuweka mkoba wako katika mpangilio mzuri na safi.
1) Toa vitu vyote katika mkoba wako
2) Tofautisha vitu vyako katika makundi mawili (a) vitu ambavyo unaumuhimu navyo kila siku (b) vya ziada ikitokea dharura
3) Weka vitu vyenye uiano katika mifuko tofauti kama unayo mfano: make up,lipstick,wanja,powder vikae kwenye mfuko mmoja. vitana,vibanio,bangili, mfuko mwingine nakadhalika. Hii itakufanya upunguze wingi wa makorokoro kwenye mkoba wako na kuachia nafasi ya vitu vingine.
4) Mpangilio wa mkoba wako una tegemea na jinsi ya mahitaji ya vitu vyako na namna ya kuvipata haraka. Vitu kama simu, na funguo zina takiwa kuwa katika mifuko ya mbele ili kuvipata kirahisi na haraka.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/dondoo/mpangilio-katika-mkoba/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/mpangilio-katika-mkoba/ […]