Misimu ya hali ya hewa inabadilika lakini haimaanishi usiwe kimitindo zaidi. Msimu huu wa joto ni rahisi kidogo kuwa kimitindo kwa sababu vitu vinavyo beba neno Mitindo vinakua vinapatikana kwa urahisi. zifuatazo ni Dondoo za nini uwe nacho katika msimu huu:
1)Suruali zisizo bana (bwanga) ni muhimu kuwa nayo katika msimu wa joto hasa ikiwa ya kitambaa, unaweza kuivaa na vest kama unatokea usiku si mbaya ukavalia na viatu virefu na kijikoti chepesi lakini kama mchana unaweza kuivaa tu na makobazi na vest bila koti
2) Gauni la maua linakupa muonekano wa kiangazi zaidi na pia ni jepesi halikupi shida nalo halichagui kiatu aidha kirefu au kifupi litapendezea.
3)Miwani Na Saa wakati wa kiangazi unahitaji miwani hasa ya rangi ili kujizuia na jua pia saa nzuri inapendezea zaidi ikiwa ya mikanda ya ngozi au plastiki ya chuma itakuunguza na jua.
4) Pochi la kusuka (asili) hili muhimu kipindi hiki hasa kama utaenda nayo ufukweni ukiyakinisha na rangi yoyote uliyo ivaa siku hiyo.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/dondoo/muhimu-kuwa-navyo-msimu-huu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/dondoo/muhimu-kuwa-navyo-msimu-huu/ […]