SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

NAMNA 5 ZA KUDUMISHA NYWELE ZENYE DAWA
Dondoo

NAMNA 5 ZA KUDUMISHA NYWELE ZENYE DAWA 

Wengi wetu huwa tuna dhani kuweka dawa na kufanyia steaming ndio kutakuza na kufanya nywele zetu kuwa na afya, hivyo utakuta mtu ana weka dawa kila baada ya mwezi na kufanyia steaming kila baada ya week mbili. Hii ndio husababisha nywele kunyonyoka na kutokua na afya.

Dawa si nzuri sana kwa nywele zako hivyo una shauriwa kuweka dawa mara mbili au tatu kwa mwaka. Hii ina maana uweke dawa kila baada ya miezi sita hadi minne. Lakini swali linakuja je katika kipindi hiko chote ambacho nywele zina oteana na kukua uta fanyaje hili zisikatike?  hizi ndizo tips muhimu za nini ufanye

1) Deep Condition – fanyia deep condition mara kwa mara hii itasaidia kurainisha nywele zako na kuipa nywele afya, wakati una fanyia deep condition ni vizuri ukaosha nywele na maji ya baridi na pia usikae kwenye moto, paka condition yako funga mfuko wa plastic na taulo juu kaa nalo kwa nusu saa osha.

conditioning

2)paka mafuta ya nywele kila siku – hii ni muhimu mno kwa nywele zako uli kuzipa nywele unyevu na kurainisha ili kuzuia ukatikaji wa nywele ni muhimu uwe una paka mafuta mara kwa mara, na mafuta mazuri kwa ajili ya nywele ni mafuta ya kumiminika na si mafuta ya mgando. Eg olive oil ya maji au mafuta ya nazi ya maji.

3) Kata ncha- Kukata ncha kunasaidia ukuaji wa nywele pia husaidia kujaza nywele.

'Dust'-Hair-Step-6

4) Suka misuko ambayo haikati nywele – ipo mingi sana una weza ku google “protective hair styles” ukaipata lakini pia nywele za kurudi nyuma “twende kilioni” husaidia mno ndio maana utakuta wanafunzi wengi wana nywele ndefu zilizo na afya.

5)Punguza kukaa/kutumia vitu vya moto – kutumia pasi au dryer kukaushia au kunyooshea nywele mara kwa mara kuna athiri nywele, nywele hupoteza ubora wake kutokana na moto. Hii huathiri hata zile nywele zinazo ota. Kama una osha nywele mara kwa mara ni vyema ukaziacha zikauke zenyewe na upepo.

1abfccf67f95194548271cdd6e4df785

Related posts

4 Comments

  1. Albino Penis Envy Mushroom Psilocybin

    … [Trackback]

    […] Here you will find 48888 additional Information to that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-5-za-kudumisha-nywele-zenye-dawa/ […]

  2. パイパン 無 修正

    … [Trackback]

    […] Read More on that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-5-za-kudumisha-nywele-zenye-dawa/ […]

  3. mushroom chocolate bars Oregon

    … [Trackback]

    […] Read More here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-5-za-kudumisha-nywele-zenye-dawa/ […]

  4. blog

    … [Trackback]

    […] Find More on that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-5-za-kudumisha-nywele-zenye-dawa/ […]

Leave a Reply