Watu wengi wamekuwa wakitumia nguvu katika kupunguza uzito “miili”, wengine hufikia hatua ya kwenda kufanyiwa operation ya kupunguza manyama au kutumia dawa za kupunguza uzito. Japo pia ni njia zinazo saidia kupunguza uzito lakini zina madhara yake pia hupati nafasi ya kujua ni mwili upi una kupendeza na kuutaka zaidi. Dawa zina weza kukukondesha sana hadi ukajuta kuzitumia. Lakini njia hizi 5 zitakusaidia kupunguza mwili wako bila nguvu wala maumivu na utapata ule mwili uutakao na uupendao
1) Mazoezi
mazoezi husaidia kupunguza mwili huitaji kunyanyua vyuma au kufanya mazoezi mazito ili upungue mwili, una weza kukimbia, kuruka kamba au hata kutembea pia husaidia unacho takiwa kufocus nacho ni mazoezi ambayo yatakufanya utokwe na jasho.
2) USIACHE KUNYWA KIFUNGUA KINYWA “BREAKFAST”
Usiache kunywa kifungua kinywa asubuhi maana ndio mlo muhimu kabisa katika siku lakini hakikisha kifungua kinywa kiwe healthy yaani usile tu vyakula vya ajabu ajabu, hakikisha breakfast yako ian carbohydrates na protein (kama mayai ya kuchemsha, maziwa au salad).
3)KULA CHAKULA SALAMA
Jifunze kula chakula salama na chenye afya, usile vyakula vyenye mafuta, vilivyo sindikwa hivi husaidia kuongeza mafuta mwilini na kusababisha ongezeko la mwili na hata magonjwa. Tumia vyakula visivyo na mafuta mengi, mboga mboga na matunda.
4) KUNYWA MAJI
Kunywa maji mengi kutakusaidia kuto kuwa na hamu ya kula mara kwa mara hii itapunguza kasi ya ulaji wako ambapo itapelekea kupungua kwa mwili bila kupata madhara ya ain ayoyote
5) LALA VIZURI
Tumia muda wako wa kulala vyema ni vizuri ukapumzika kwa masaa 7-8 hii itakufanya uwe na amani, kuto kupumzika vizuri kuna weza kusababisha ushindwe kufanya mazoezi yako ipasavyo
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-5-za-kunguza-uzito-bila-kutumia-nguvu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-5-za-kunguza-uzito-bila-kutumia-nguvu/ […]