Kuna wengine hawapendi tu moto wa dryer, wengine husema zina madhara lakini pia si nzuri kwa nywele unapo tumia dryer mara nyingi nyingi una dhoofisha nywele zako kuna njia hizi mbili kutoka kwa waalamu wa nywele kutoka Mexico na Jamaica wana sema ni nzuri kutumia
1) Mexico- wanawake wengi kutoka Mexico hutumia mataulo kukaushia nywele zao, yaani wakiziosha hufunga vizuri taulo na kwa nguvu huliacha mpaka pale nywele zitakapo kauka kabisa hii husaidia kufanya nywele zako kuwa smooth, strands na straight
2)Jamaica- hutumia rollers kubwa kukausha nywele zao wakisha osha wana funga rollers na kisha hukaa nazo tu kichwani zikauke na hewa, sio tu wana save nywele zao kwa kudhoofu na moto wa dryer bali pia hupata mawimbi mazuri kutokana na rollers walizo funga
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 57111 additional Information on that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-nyingine-za-kukausha-nywele-bila-dryer/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-nyingine-za-kukausha-nywele-bila-dryer/ […]