Kuna watu wengi huwa wana sema nitapunguza ukifika mwezi mtukufu wa Ramadhani wakidhani kule kufunga kwa masaa kadhaa kuta punguza miili yao lakini kumbe una weza ukafunga na usipungue au ukazidi kunenepa yes una weza kushangaa au kudhani ni uongo lakini Mwezi Mtukufu ndio mwezi ambao watu huwa wana kula vitu vitamu na vyenye mafuta na nazi kwa wingi, hii ina weza kukufanya uongeze mwili au usipungue hata kidogo, Je nini ufanye kuangalia mwili wako usiongezeke katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani?
- Fanya Mazoezi – jijengee kufanya mazoezi marahisi lisaa limoja kabla ya kufungua funga yako au masaa mawili baada ya kufturu, usifanye mazoezi mazito chagua mazoezi marahisi kama kuruka kamba, kukimbia umbali mfupi etc.
- Fturu vyakula vyenye afya – kula matunda na mboga mboga kama iftar yako, wengi tuna penda zile sambusa nyama, mihogo ya nazi, tambi za sukari nk, lakini hivi vina weza kusababisha kuongezeka uzito jaribu katika kila mlo uwe na matunda na mboga mboga au fturu vitu visivyo na sukari nyingi na mafuta mengi.
- Punguza unywaji wa kahawa – wengi tunakunywa kahawa kupunguza kuumwa kwa kichwa siku ya pili, lakini sio nzuri jaribu kunywa green tea au kikombe kimoja tu cha kahawa.
- pata muda wa kupumzika/kulala – kwa sababu huwa tunaamka usiku kula daku na mchana kuna kupika wengi huwa hatupati usingizi unatakiwa jaribu kutafuta muda ulale/kupumzika hata kwa lisaa limoja tu kwa siku
- Kunywa maji – jaribu kuwa una kunywa maji mengi mara baada ya kufungulia (glass 8 preferably)
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 44449 more Information to that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-ya-kuangalia-mwili-wako-katika-mwezi-wa-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-ya-kuangalia-mwili-wako-katika-mwezi-wa-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-ya-kuangalia-mwili-wako-katika-mwezi-wa-ramadhani/ […]