Mwezi Ramadhani watu wengi hufunga viremba ili kutokuonyesha nywele kama ambavo ina aminika kwamba kwa mwanamke kuonyesha nywele katika kipindi hiki ni kuto kujistiri, kukaa na kiremba muda mrefu kuna weza kuathiri nywele zako kama kukatika au kukauka kwa nywele, pia si tu kutokana na viremba bali pia nywele huwa na afya kutokana na milo mizuri kwaio kufunga kwa muda mrefu pia kuna weza kuathiri nywele zako.
leo tuna kuelezea jinsi ya kuzitunza nywele katika kipindi hiki cha mfungo
Kula vizuri
Pale unapo fungulia kula mboga mboga na kunywa maziwa au mtindi hii itasaidia kuzipa nywele zako afya.
Zijali
sio kwa sababu una funga basi hata mafuta usipake hapana, paka mafuta katika nywele zichane vizuri kisha funga kiremba chako
Suka
kama una ona zina kupa shida kila siku kuzichana na kisha kufunga kiremba ni ruksa kuzisuka hata minyoosho, hii itakusaidia ku save time na hata pia ukuaji wa nywele zako.
ziweke steaming
usitumie zile zenye kemikali, tumia steaming ambayo umeitengeneza kama ya yai na parachichi.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-ya-kutunza-nywele-zako/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-ya-kutunza-nywele-zako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-ya-kutunza-nywele-zako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/namna-ya-kutunza-nywele-zako/ […]