Habari Afromates ikiwa ni jumatano nyengine tukiwa katika muendelezo wa makala yetu tuliyoanza wiki iliyopita kuhusiana na swala zima la Kitambi, badala yakufahamu nini maana yake.
Tungependa kwenda moja kwa moja kuangazia nini sababu ya kitambi. Kama tulivyotanguliza wiki iliyopita kueleza kwamba vyakula ndio vichecho vikubwa vinavyopelekea vitambi ,kama tunavyojua aina zote za vyakula vinahitajika kwenye mwili kwa kiasi maalumu ili kuweza ufanyaji kazi wa mwili kwa ufasaha ila vyakula hivyo hivyo endapo vitazidishwa kiwango kinachohitajika mwilini huleta madhara makubwa ikiwamo kitambi na maradhi kama shinikizo la damu (Blood Pressure) ongezeko la uzito kupita kiasi yani obesity.
Tutakuja kueleza zaidi huko mbeleni ni kiwango gani aina na wakati gani chakula gani kinahitajika mwilini. Kwasasa turudi kutazama sababu nyengine zinazopelekea kitambi tukianza na _Stress_ yani msongo wa mawazo wakati mwengine watu wamekua wakifanya diet nakulalamika badala ya kupungua hua wanaongezeka uzito zaidi na hii ni kutokana msongo wa mawazo unaosababishwa na kuwaza wanatakiwa kula nini wakati gani au kufikiria vyakula vyao wanavyotamani kula wakati huo ila inabidi kujizuia au stress za matatizo ya maisha ya kila siku .
Cortisol ni homoni inayozalishwa na glandi ya Adrenali glandi ambayo homoni hii hujulikana kwa jina lengine kama “Stress Hormone ” na huzalishwa zaidi wakati mtu akiwa katika hali ya msongo wa mawazo .
Wakati mtu anapitia hiki kipindi mara nyingi hua anakua hayupo physically Active nakupelekea mwili kuhifadhi FATS nyingi na ungezeko la mwili kutokana na kukaa muda mrefu akitafakari kuhusu jambo fulani na wakati huo cortisol homoni kiendelea kuzalishwa kwa wingi zaidi.
Namna ambavyo unaweza kupunguza HIGH CORTISOL (Stress Hormone)
Wiki ijayo tutaendelea na sehemu ya tatu ambayo tutaangalia sababu nyengine inayopelekea kitambi ,Ahsante .
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-2/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 21961 more Information on that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-2/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-2/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-2/ […]