Habari Afromates, ni jumatano nyengine katika muendelezo wetu wa dondoo za afya ambapo tutaendelea na sababu nyengine inayosababisha ukuaji wa kitambi ambapo leo tutaangalia aina ya ulaji. Ambavyo vyakula vyote venye wanga hupelekea kuongeza uzito pia kitambi kwenye mwili.
Vyakula vyote vya wanga mwisho wa umeng’enyaji wake hubadilika kua sukari (Glucose,Fructose,Galactose) vyakula hivi pia mlaji anaweza kula kwa wingi sana bila kushiba maana umeng’enyaji wake hufanyika kwa haraka hivyo huleta hali ya njaa mara kwa mara na ongezeko la chakula huendana na ongezeko la mwili.
Pia vyakula vya Mafuta yani Fats hivi vinahitajika na mwili kwa kiasi kidogo sana maana huchukua muda mrefu sana kumeng’enyeka kwahiyo ulaji wa vyakula hivi kwa wingi hupelekea mwili kushindwa kufanya umeng’enyaji wake na masalia yake kubaki na kupelekea ongezeko la uzito na nyama sehemu za tumbo ambazo huonekana kama kitambi.
Ili kuzuia haya yote ni muhimu kula vyakula kwa usahihi wa vipimo vinahitajika na mwili ili umeng’enyaji wake ufanyike kwa wakati na kiwango sahihi. Pia ulaji wa matunda mengi na mbogamboga ili kusaidia umeng’enyaji wa chakula zaidi maji ya kutosha ambayo ndiyo mafuta yakuchochea ufanyaji wa kazi wa mwili wote.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-3/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-3/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 51190 more Information on that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-3/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-3/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 36121 additional Info on that Topic: afroswagga.com/dondoo/nini-chanzo-cha-kitambi-na-namna-ya-kukiondoa-3/ […]