Kupaka make-up ni jambo moja na kuzifuta ni jambo lingine, hasa kama ulipaka make-p nyingi kwa ajili ya sherehe kufuta kwake inakuaga kazi kidogo hadi wengine huamua kulala nazo bila kutoa hadi asubuhi, lakini zipo njia rahisi kabisa za kutoa make-up
ASALI NA BAKING SODA
Unaweza ukahisi ni utani lakini hii njia ni njia rahisi na nzuri mno ya kuondoa make-up, changanya asali na baking soda kidogo kisha weka kwenye kitambaa kisafi na ufute make-up yako utashangazwa na utendaji wake wa kazi.
BABY WIPES
wengi tunazijua wengine tunatumia kufutia mikono na wengine hata huzitumia chooni lakini pia unaweza kuzitumia kufutia make-up ni raini mno na zina unyevu kwaio huitaji kuwa na wasiwasi kuhusu kukwaruza uso wako, kama unataka njia rahisi za kuondoa make upbasi baby wipes ni jibu tosha
MVUKE
mvuke wa majichemsha maji safi weka kwenye beseni kisha inamia, mvuke utafungua matundu ya vinyweleo hio ina sababisha make-up kutoka, inamia kwa muda wa dakika kadhaa kisha chukua sabuni na maji masafi kuusafisha uso wako
MAZIWA
ndio maziwa ni namna nzuri ya kutoa make up za machoni, tumbukiza pamba kwenye maziwa kisha futa mascara au eye liner mara moja itafutika
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/dondoo/njia-rahisi-za-kufuta-make-up/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/dondoo/njia-rahisi-za-kufuta-make-up/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/dondoo/njia-rahisi-za-kufuta-make-up/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/njia-rahisi-za-kufuta-make-up/ […]