M’ba hutokana na ukavu wa ngozi, pia fungus ambao hutokana na cell za ngozi zilizo kufa. Mba hutia aibu na wengi hufikiri mba hutokana na uchafu kwaio pale unapo kuna kichwa mbele za watu asilimia 99 ya watu hao watajua nywele zako ni chafu hujaosha japo kuwa mba pia huweza kusababishwa na aina ya mafuta uyapakayo.
hizi ni njia chache ambazo zinatumia viungo vya nyumbani/jikoni kutoa mba,
Vinegar/Siki: husaidia kuua fungus na bacteria wanoa sababisha mba, chukua siki changanya na maji kidogo paka katika ngozi ya kichwa kaa na mchanganyiko huo kwa muda wa lisaa limoja kisha osha kichwa chako.
Baking Soda: husaidia kuondoa cell za ngozi zilizo kufa cha kufanya changanya baking soda katika shampoo yako kisha utumie kuoshea nywele zako.
Vitunguu swaumu: saga vitunguu swaumu changanya na asali na tangawizi ili kukata ile harufu mbaya ya kitunguu swaumu paka kwenye ngozi ya kichwa kaa nayo kwa muda wa nusu saa kisha osha nywele zako. unaweza pia kutumia shampoo au conditioner zenye kitunguu swaumu.
Aloe vera: chukua jani la Aloe Vera saga changanya na maji kidogo paka kwenye ngozi ya kichwa kaa nayo kwa muda kisha osha nywele zako.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 93283 more Info on that Topic: afroswagga.com/dondoo/njia-za-kuondoa-mba-kichwani/ […]