Kama kuna kitu ambacho huwa kinasumbua wanawake wengi ni kujua perfect bra ipoje. Wengi wetu tunavaa blazia tukiwa hatujui kumbe tumekosea sio size zetu, mfano unaweza kukuta blazia imekutosha kote lakini nyama za pembeni zinaonekana, au nyama za juu hapa kifuani zimetuna wenyewe tunaita ku-boost, lakini kumbe perfect blazia inatakiwa ikutoshe sehemu zote.

Je Blazia ambayo ni perfect inatakiwa kuwaje?

Vitu Vinne Ndivyo Vinavyofanya ujue hii blazia ni perfect kwako
- Center Band iwe imelala flat
Sio unakuta imejikunja au imezidi yaani haikotoshi vyema basi hio bra sio size yako na wala sio perfect bra kwako
- Hakuna Gap kati ya Cap na Maziwa
Kuna bra ambazo wengi tunavaa tunaita ku-boost, cap inakuwa kama ndogo na maziwa juu yanachomoza, hii sio perfect bra.
- Mikanda ya Bra isiteremke wala kubana sana
Mikanda ya bra inatakiwa iwe sehemu yake, ikutoshe accordingly isikubane sana wala isilegee sana mpaka ikawa inashuka mabegani.
- Nyama za pembeni za maziwa zisitokeze
Kuna bra huwa ukivaa unakuta nyama za pembeni za maziwa huku karibu na makwapa zinachomoza, leave that bra to someone else.
well tuambie je baada ya kusoma hii una perfect bra ngapi kwenye kabati lako?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…