Unaweza kuwa umevaa umependeza, una tembea kwa madaha na heels zako, umebeba ka clutch kazuri unanukia vyema yaani uko proper kabisa mmetoka kama ni marafiki au date ukafika uendapo halafu vitu vidogo tu vikakutia dosari, utasikia yaani msichana mrembo kapendeza ila hana proper table manners, leo tunawaletea tabia za mezani za kufanya ili tuepukane na aibu ndogondogo.
- Subiri aliyekualika akae kabla ya wewe kukaa na unapokaa hakikisha una straight usikunje mgongo
3 Bad Posture To Fix For Confident Body Language
- Unapokaa weka napkin kwenye mapaja yako, usiifunge shingoni
- Weka simu pembeni au weka silent ili uweze kumsikiliza na kuongea vyema na mgeni wako, usichezee sana simu ni dharau.

- Usiweke handbag mezani iweke nyuma ya kiti au kiti cha pembeni ambacho hakina mtu.
Je Ni Sawa Kuweka Handbag Yako Mezani?
- Usianze kula kabla ya aliyekualika au ulie nae hakikisha unasubiri kila mtu awe na chakula na muanze kula pamoja, pia kula kwa ustaarabu don’t rush.
- Unapotaka chakula ambacho kipo mbali na wewe omba mtu akupe, usinyanyuke au kuinua mkono kuchukua mwenyewe.
- Unapo ombwa kitu (bakuli / sahani ya chakula) pass kuanzia kushoto kwenda kulia ili yoyote mwingine atakae taka kujiweka ajiwekee, usinyooshe mkono moja kwa moja kwa aliekuomba unless mpo wachache kama wawili au watatu.
- Unapo ombwa chumvi au pilipili hakikisha unawapa vyote viliwi ili asiombe na kingine kama anauhitaji nacho pia
- Unapokula hakikisha hupigi ngalo, hupigi kelele unapotafuna, usiongee wakati unachakula mdomoni, wala usitoe chakula mfano nyama kwenye meno kwa kutumia vidole na epuka kuwauliza wengine maswali wanapokuwa wanakula.
Ni matumaini yetu kuna mawili matatu umejifunza.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…