Unaweza ukawa una fanya mazoezi una jibana kula lakini tumbo lipo pale pale halipungui sana sana linaweza kilawa lina ongezeka, kuna sababu za kwanini halipungui kuna baadhi ya vitu una kosea katika safari yako ya kupunguza tumbo na vitu hivyo ni
1) Una fanya mazoezi tofauti
kuna baadhi ya mazoezi si mazoezi ya kupunguza tumbo, una weza ukawa ume anza kufanya mazoezi lakini una ruka kamba na kukimbia pekee hapo hutoweza kupunguza tumbo una takiwa kufanya seat ups na kunyanyua baadhi ya vyuma pia kuna mazoezi mbali mbali kwa ajili ya kupunguza tumbo.
2) hupumziki/kulala vya kutosha
Wataalamu wana sema wanawake wanao lala masaa machache wana nafasi kubwa ya kuongezeka kwa mwili ndani ya miaka 16 kuliko wale wanao pumzika kuanzia masaa saba hadi nane, hii ni kutokana na wana wake wanao lala muda mchache kula sana vyakula vyenye calories nyingi kama kahawa etc.
Jaribu kubana ratiba yako ya siku ili uweze kupata masaa mengi ya kupumzika hii itasaidia kupunguza ongezeko la mwili.
3) Soda
unaweza ukawa una lala vizuri una fanya mazoezi vizuri lakini ni mpenzi mno wa kunywa soda hii pia usababisha tumbo lako kuto kupungua wataalamu wanasema soda si nzuri ziwe zenye sukari au diet soda zote si nzuri.
tumia maji au juice
4) Chumvi
Ni vyema uka tumia vitu kama tangawizi, chili powder katika chakula chako, chumvi si nzuri hasa ile chumvi ya kunyunyuzia katika chakula.
5)unywaji wa pombe
Pombe ina sababisha mnywaji atake kula sana si mbaya kunywa glass moja au mbili za wine lakini ule unywaji wa kupitiliza wa vinywaji hivi unaweza kusababisha diet yako na mazoezi yako kuwa ni kazo bure.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/dondoo/sababu-5-kwanini-tumbo-lako-halipungui/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/dondoo/sababu-5-kwanini-tumbo-lako-halipungui/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/dondoo/sababu-5-kwanini-tumbo-lako-halipungui/ […]