Kwa wanawake wana mapambo mbali mbali ya kuvaa, ukianzia vibanio vya nywele, hereni, mikufu, pete nakadhalika ila kwa kaka zetu ni tofauti kidogo wana vitu vichache mno vya kuvaa kama mapambo, kama una taka kuwa mwanaume stylish haya ndio mapambo (accessories) ambazo ni lazima uwe navyo
Viatu
Huwa tuna sema kitu cha kwanza kwa mwanamke kuangalia kutoka kwa mwanaume ni viatu “they say shoes speaks one’s personality”, kwa hivyo ni vyema kuwa na viatu tofauti tofauti na kwa wanaume hukosea kudhani kiatu cheusi kina enda na vazi lolote, hapana si kweli na hii haimaanishi uwe na kiatu cha kila rangi lakini atleast kuwa na kiatu cheusi na brown. Pia kuwa na pair kadhaa za viatu kama official shoes, sports wear, sandals na Converse.
Saa
Saa is a must have kwa mwanaume kwa sababu mbali mbali wanaume huwa hawapendelei sana kuvaa accessories ila saa ni kitu ambacho mwanaume akikivaa hupendeza mno na kuonekana mtanashati kama akikivaa kinavyo paswa.
Mkanda
asilimia nyingi ya wanaume hupenda kuwa na mkanda mmoja, kiukweli mkanda ni kitu ambacho kina add value katika vazi lako, na ina pendeza zaidi pale mwanaume anapo mach mkanda na viatu, haileti picha nzuri pale mwanaume anapo vaa mkanda mweusi viatu vya brown au vise versa, hakikisha una pair ya mikanda ya rangi mbalimbali inayo endana na viatu vyako.
hope ume jifunza kitu untili next time.
tupe maoni yako kupitia
Facebook – afroswaggamag
Instagram – afroswagga
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…