Leo tutazungumzia zile do and don’ts katika uvaaji wa suti kwa wakaka. Tunajionea wengi wakivaa vazi hili ila wengi wao hukosea na kutofuata sharia zake. Suti si mchezo ati!!!
Tuanze na fittings katika mwili. Hakikisha suti yako imekukaa ipasavyo. Mabegani pawe sawa pia urefu wa suruali uwe sawa. Over sizes katika suti ni mwiko.
- Uvaapo tai, hakikisha mwisho wa tai ama urefu wake ni juu ya mkanda wako wa kiunoni. Pia hakikisha vifungo vyote hasa cha juu kwenye collar kimefungwa ili tai iweze kukaa sawa.
- And chagua rangi ya tai ambayo itakuwa brighter than rangi ya shati lako.
- Ukiweza pia, hakikisha viatu uvaavyo na mkanda vinashabihiana rangi. Pia viatu vyako hakikisha vya compliment rangi ya suti yako. Kuwepo na mrandano.
- Socks uvaazo hakikisha ni ndefu ili sehemu za miguu yako zisiweze onekana.
- Uvaapo a two ama three buttoned coat suit yaani koti lenye vifungo viwili ama vitatu, hakikisha kifungo cha mwisho hakifungwi na pale ukaapo, hakikisha vifungo vyote vya koti la suti yako viko wazi ili kuondoa koti lako kuwa na mikunjo.
- And pale unapovaa shati lenye vifungo cufflinks hakikisha lachozoma zaidi ya koti lako. Oversized coats huziba shati na hushindwa onekana hivyo hili pia kuwa kosa uvaapo suti.
Kwa maelekezo haya machache tuna tumaini pale uvaapo suti tena utayazingatia ili uwe kutokelezea kinoma noma na kuendana kweli na kanuni za vazi la suti.
Imeandikwa na Willbard_Jr
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…