Nywele ni moja kati ya vigezo vilivyopo katika urembo,huwezi kupaka make up nzuri ukawa na nywele mbaya na uka pendeza. Wote wanaume na wanawake wana faa kuwa na nywele zenye afya na zinazo pendeza, kuwa na nywele mbaya ina maanisha siku yako pia inaenda vibaya.
kuna baadhi ya tabia ambazo tunazo ambazo pasipo kujua huwa zina dhoofisha afya ya nywele zetu
– Msongo wa mawazo
msongo wa mawazo auharibu tu mfumo wa afya yako bali pia una dhoofisha nywele na kusababisha nywele zikatike, na kuota yena huchukua kati ya miezi sita hadi nane
-Lishe duni
lishe pia ina weza kusababisha kudhoofisha nywele, unapo kosa lishe nzuri nywele nazo huwa zina kosa rutuba ya kuweza kukua kwa kasi yake ya kawaida.
-Vifaa vya nywele
siku hizi kuna vifaa mbali mbali vya ku style nywele na vingine hutumia moto mwingi sana, jaribu kutumia vifaa hivi mara chache chache maana pale unapo ichoma nywele ina pungua uwezo wake kwa maana utakuta nywele zinakua nyepesi na kupukutika bila wewe kujua ni kwanini kumbe ni ule moto ambao unautumia mara kwa mara ku style nywele zako.
-kuweka dawa nywele
hii ipo sana kwetu sote wadadana wakaka siku hizi ni kweli wa Africa tuna nywele ngumu na unapo zichana zinaweza zikauma sana lakini ili uweze kurainisha nywele hizi si lazima utume dawa ambazo zina makemakali makali, pindi uendapo kununua dawa za nywele jaribu kuangalia uwezo wa kemikali zake kama ni nyingi basi tafuta zile ambazo kemikali zake si kali sana.
-mchano wa aina moja
inawezeka ukawa unachana mchano mmoja wa nywele kama kurudisha nyuma hii husababisha nywele za mbele kukatika na pia siku hizi kuna michaco ukichana ni lazima uchambue nywele kama picha chini inavyo onyesha michano hii pia uharibu nywele zako
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 14698 more Info on that Topic: afroswagga.com/dondoo/tabia-tano-mbaya-zinazo-haribu-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/dondoo/tabia-tano-mbaya-zinazo-haribu-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/dondoo/tabia-tano-mbaya-zinazo-haribu-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/dondoo/tabia-tano-mbaya-zinazo-haribu-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/dondoo/tabia-tano-mbaya-zinazo-haribu-nywele/ […]