Sio Dar pekee bali hadi mikoani ni joto lisiloelezeka kila siku. Hii husababisha watu kutokwa jasho lisilo la kawaida n ahata mwili na nguo nzima kulowa kama vile umenyeshewa na mvua. Waweza ona wengine wakitokwa jasho makwapani ikiwa na rangi ya njano.
- JASHO LA NJANO KWAPANI LASABABISWHA NA NINI?
Kwa kawaida jasho la binadamu lina rangi nyeupe hivyo kwa mtumiaji wa manukato iwe perfumes ama deodorants hasa zenye aluminum ndani yake, hii huchanganyikana na jasho na kusababisha rangi ya njano ambayo hutokea kwa wengi makwapani.
Hivyo perfumes zenye alluminium ndani yake zichanganyikapo na jasho lako hutengeneza rangi ya njano. Pia mtu apuliziapo perfumes ama deodorant kupita kiasi nayo huchangia. Wakuta mtu spray inaisha ndani ya wiki maana hupuliza nyingi utadhani ni dawa ya mbu.
Pia yaweza tokana na material ya nguo uliyovaa, sabuni uliyotumia kufukia nguo, maji unayoogea, kutokunyoa nywele kwapani na pia mchanganyiko wa kemikali za jasho lako mwilini.
NAMNA AMBAVYO UNAWEZA ZUIA TATIZO HILI
- Ununuapo deodorants ama perfumes, kagua mchanganyiko wake kuepuka kununua zenye aluminum nyingi. Brands kama NIVEA zina deodorants special na nzuri zizuiazo tatizo hili.
- Kabla ya kujipulizia marashi, hakikisha kwapa lako ni kavu na pia waweza itikisa deodorant yako kisha hakikisha imekauka kabla ya kuvaa nguo.
- Ujipuliziapo marashi, tumia kiasi. Too much ya kila kitu huleta madhara. Hatupulizii kuua mende na mbu chumbani, ebho!!!
- Pia nyoa nywele zako kwapani mara kwa mara. Misitu ya Amazon na Congo kwapani marufuku.
Imeandikwa na @willibard_jr
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 47587 additional Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/tatizo-la-jasho-la-njano-kwapani-na-suluhisho-lake/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 34231 more Info to that Topic: afroswagga.com/dondoo/tatizo-la-jasho-la-njano-kwapani-na-suluhisho-lake/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/dondoo/tatizo-la-jasho-la-njano-kwapani-na-suluhisho-lake/ […]